karekwachuza
JF-Expert Member
- Dec 23, 2013
- 999
- 335
Huu ni uhuni kwani Tshirt ndio kura?aende zake huko ACT,ccm ni ngumu kumpendekeza huyo fisadiLowasa amwaga t shirt Musoma mjini zenye picha yake pamoja maneno kwa nyuma (friends of lowasa).marafiki wa lowasa pia mpango ulioko Wamejiandaa kwenda kumpokea Akitoka ujerumani na Mabango ya kuhamia act yaandaliwa tayari.