Marwa Chacha
Senior Member
- Feb 5, 2015
- 102
- 51
Oktoba si mbali, tuvute subira itafika.Huyu jamaa sio wa kumdharau hata kidogo!
Yupo too strategical, though we perceive him as a big looser!
Ngoja nitunze akiba ya maneno (maana huu ndo msamiati mpya hivi karibuni!)
Hao kwenye picha ni ccm, au act. Namwona mwarabu mwenye sharafa sijui naye kaingia lini kwenye siasa!Jamaa ameamua akipata alipe visasi
Mkuu Haki Sawa, umefanya jambo la maana sana, na ili zisambae kote kwa kasi, mimi na kampuni yangu tumejitolea kufanya distribution bure, hivyo shehena ikifika tuu, ilete shehena yote pale ofisini kwangu, nitakusaidia kuzisambaza kwa kasi ya ajabu. Mimi nafanyia kazi pale kwenye ile incinerator ya Muhimbili, utaniletea siku ninaingia zamu ya usiku, nitakusambazia faster sana!. PascoMimi nimechapisha t.shirt za enemies of Lowasa , ni suala la muda tu zitakuwa hadharani ....