mangunde
Member
- Oct 28, 2010
- 56
- 11
Ote chiiyo tupufho
Wai mmmmmh
Ote chiiyo tupufho
Ila kama ukawa wako tayari kumpokea Luwasa wanashindwaje kumpokea ZZK iwapo kama wote lengo ni moja? C unafiki huo?
Ila kama ukawa wako tayari kumpokea Luwasa wanashindwaje kumpokea ZZK iwapo kama wote lengo ni moja? C unafiki huo?
Lowassa amtaka Zitto kujiunga UKAWA ili mpambano uwe kati yake na Magufuli.
Mazungumzo Makali yanaendelea namna gani ya kumjumuisha Zitto.
Chanzo: Magazeti ya Leo na Jana RAIA mwema
Niliisoma hiyo stori kwanye gazeti la Raia Mwema na kushtushwa kuwa hili gazeti nalo linajikita kwenye propaganda za kijinga. Kweli inaingia akilini kuwa Lowassa anaweza kutoa 'such a bizarre advance' eti anamtaka Zitto wakati (anajua alifukuzwa Cdm); badala ya kuzingatia vigezo. Mbona kuna vijana wengi tu Ukawa wenye uwezo mkubwa? Au ili uungwe mkono na wapiga kura vijana lazima tu uwe kijana? Kwa kifupi hii stori ni ya kutunga (fabricated) na ya kipropaganda yenye lengo la kumfagilia Zitto ili wananchi wadanganyike kuwa ni indispensable; na eti bila yeye hiyo ndoa ya Lowassa na Ukawa (kama kweli ipo) haiwezekani!
Kindo kicha sana meku, kya maana le, lutakie luwaaye kindo kyi kekelao mfumo sisiemu kuoka. Na koka mnduchu kaingia chama kyi na kairiwaa mfumo chu. Ruwa nataramo
Mbowe aligoma kukaa meza moja na ZZK...jamaa ana kinyongo sana..ila nadhani mbele ya Bn 10 mchaga yule lazima alegeze uzi
Jamani mnatakiwa kuelewa nchi tumefika hapa tulipo kwa sababu ya uongozi wa Ccm kwahiyo adui yetu ni mmoja CCM.hivyo vyama vyote vinauungana kumuondoa adui CCM hayo mengine tutaongea tufanyeje baada ya kumuondoa adui
Mkimweka Lowassa na teamyake mambo yatakuwa yaleyale...hakuna tofauti..ni bora niendelee kupigia ccm
Mkimweka Lowassa na teamyake mambo yatakuwa yaleyale...hakuna tofauti..ni bora niendelee kupigia ccm
Kama hii habari ni ya kweli, nitazidi kuamini huyu mchaga ni mnafiki na yupo pale kwa maslahi yake binafsi na siyo ukombozi wa taifa letu.
CHADEMA kuungana na Zitto? Hii itakua ngumu kumeza kwa CHADEMA.
Kumekuwepo uvumi wa uongo ya kuwa kwenye ile list of shame iliyotamkwa na Dr. Wilbard Slaa pale Mwembe Yanga eti jina la Mhe. Edward Ngoiyai Lowassa lilitajwa.
Ukweli ni kuwa orodha ya majina kumi ni hii hapa na Lowassa hayumo. Mnyonge msimnyonge bali haki yake ya kiukweli tumpe...
1. Daudi Balali
2. Andrew Change
3.Basil Mramba
4. Agrey Mgonja.
5.Patrick W.R. Rutabazibwa.
6.Nimrodi Elirehema Mkono.
7. Benjamin William Mkapa.
8.Jakaya Mrisho Kikwete.
9.Nazil Karamagi.
10. Rostamu Azizi
mh hata mm siwez kukubali kumpangisha hb wakati nna mke mrembo!!Ila kama ukawa wako tayari kumpokea Luwasa wanashindwaje kumpokea ZZK iwapo kama wote lengo ni moja? C unafiki huo?