Kama Lowassa anataka kupewa fursa ya kugombea asiwape wenzake masharti otherwise arudi CCM tuone maana Zitto ni tapeli aubaingie ACT agombee lkn co kubebwa alafu unakuwa na masharti ya kijinga.
Chadema wakimrudisha Zitto kwenye kambi yao na withdraw support yangu kwao
Ukimkataa Zitto kujiunga UKAWA, unataka ccm iendelee kutawala.
Lowassa amtaka Zitto kujiunga UKAWA ili mpambano uwe kati yake na Magufuli.
Mazungumzo Makali yanaendelea namna gani ya kumjumuisha Zitto.
Chanzo: Magazeti ya Leo na Jana RAIA mwema
Chadema kuungana na Zitto? Hii itakua ngumu kumeza kwa cdm
Lowassa amtaka Zitto kujiunga UKAWA ili mpambano uwe kati yake na Magufuli.
Mazungumzo Makali yanaendelea namna gani ya kumjumuisha Zitto.
Chanzo: Magazeti ya Leo na Jana RAIA mwema
Hakuna haja ya kutengana wakati adui ana nguvu sana ni kuungana hapa kumwangusha adui kwanza. we need changes
Kama ni kuitoa ccm madarakani na iwapo wote wana lengo hilo moja washirikiane tu kila mtu akiwa kwenye chama chake. Kwani Lowasa yeye anamhitaji Zitto kibinafsi au support yake? Kama ni kuunganisha nguvu si kumwita tu na kumwomba awaunge mkono UKAWA na mgombea wao? Au tatizo itakuwa mgawanyo wa majimbo?
Magazeti ya leo ya nchi hii au ya Uganda?
Lowassa asiwe kama mwanamke wa baa akipewa ofa anataka kuja na mashoga zake sita.