Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 69,514
- 122,879
Lowasa anamtaka kwa sababu zifuatazo,kuondoa dhana ya Ukaskazin,kuteka kundi la vijana cos Slaa,Mbowe na Lipumba wote ni wazee na mwisho umoja.
Kwani huo ujana wa Zitto unadhihirika akiwa ndani ya Ukawa tu? Na yeye EL ni nani mpaka aamue nani wa kuvutia vijana ndani ya Ukawa? Nyie mshamlia mzee hela zake angalieni jinsi ya kumchangia ama kama mmezimaliza basi mtafutieni hata mtu wa ushauri nasaha ili atulie.