IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,819
Hujasoma mpaka paragraph ya mwisho mkuu (I understand, its big problem to Africans) hiyo last paragraph imesema Katibu mkuu alikuwa ni mmoja wa watoa mada kwenye huo mkutano..Jambo jema sana.
Swali Mboe, katibu Mkuu mbona siwaoni hapo. Ni mgawanyo wa majukumu? Au ndo kale ka mfukuto ka Chini Chini?