Lowassa akiwafunda Mameya wa UKAWA

Lowassa akiwafunda Mameya wa UKAWA

Lowassa ni mwizi,ni fisadi kwa mjibu wa mbowe,msigwa,mnyika,lema .Leo mwizi na fisadi anawafunda mameya hahaha maajabu kweli,chadema mlaaniwe milele kwa upuuzi wenu huu kwa watanzania
 
Hongera ukawa, hata mbuyu ulianza kama mchicha. Hata Roma haikujengwa kwa siku moja
 
Ndo kawaida yake ni mwanzo wa kampeni zake ktkt chama 2020 kesho miezi 5 baade atawaita tena
Na ooh hawatoki tupu hapo
 
Akizungumza katika mkutano wa mameya na wenyeviti wa Halmahauri watokanao na CHADEMA unaofanyika East Africa Hotel Arusha leo, Mh Lowassa amesema..

Tunataka halmashauri zetu ziwe za mfano Tanzania kwakuwa na Agenda ili tujue nikipi kipaumbele cha kuwatumikia wananchi, pia tuangalie Ni kitegauchumi kipi katika halmashauri husika kinaweza kuwapa wananchi wetu ajira.

Pili Tunataka kuimarisha Chama chetu kwa kushuka chini hadi ngazi ya Msingi ambapo ndipo walipo wanachama watu, (Grass Root.)

Pia nataka niwashauri Mameya wetu kuhakikisha wanashirikiana na wananchi katika kutekeleza ahadi ya Mabadiliko na Maendeleo.

Katika kikao hicho maalumu cha mkakati, Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Vincent Mashinji na Katibu wa Kanda ya Kaskazini wampata fursa ya kutoa mafunzo mkakati na nasaa zao.
View attachment 364518 Picha ya pamoja bada ya session ya kwanza

View attachment 364519

View attachment 364520

View attachment 364521

View attachment 364522

View attachment 364523
Tupo pamoja nawe
 
Back
Top Bottom