Yatakuwa ya MonduliSijui umekula maharage ya wapi?
Nenda mahakamani
Ndio maana serikali inaogopa sana.I get the point
Yatakuwa ya MonduliSijui umekula maharage ya wapi?
Nenda mahakamani
Ndio maana serikali inaogopa sana.I get the point
Unasema mh.Lowassa ni mgonjwa..nikuulize swali..Je wewe ni mzima? Usiseme mwenzako mgonjwa wakati wewe mwenyewe ikitokea unafanyiwa check up utakuwa na mgonjwa mia kidogo....changa mdomo wako acha ujinga.Hicho ndicho kilichomuondoa CCM fisadi Lowasa, yeye ukubwa tu ndiyo anataka kinyume na hapo hamuendani, sasa hapo Lowasa wamemfikisha kwamba yeye ndiyo mkubwa na siku watakapokuja kugombana na chadema ni ile siku ambayo watachallenge huko kupenda ukubwa wake hapo ndiyo utakuwa mwisho wa Lowasa chadema!
Lowasa atawasumbua sana chadema, huyu jamaa ni mgonjwa!
"Udikteta siyo jadi ya CHADEMA" Jadili.Safi Sana mh. Lowasa
Lazima tuwaonyeshe tofauti kati ya kutawala na kuongoza
Ukawa kuna viongozi wa kupigiwa mfano
Udikteta sio jadi ya chadema
Alishatulizwa na bil.10 yeye mwenyekiti jinaMwenyekiti mwenyewe wa chama namuona, mwenyekiti aliyefifia simuoni hapo labda amekuwa over shadowed.
Edo mgonjwa tukubali tukatae.Unasema mh.Lowassa ni mgonjwa..nikuulize swali..Je wewe ni mzima? Usiseme mwenzako mgonjwa wakati wewe mwenyewe ikitokea unafanyiwa check up utakuwa na mgonjwa mia kidogo....changa mdomo wako acha ujinga.
Matusi ndiyo zao. Wamekumbatia FISADI watakuwa na hoja?mkuu ungeuliza tu ungekuwa bora sana sasa kuanza kutukanana si uungwana, utapata burn buree uanze kulalamika, soma maelezo yangu vzr mkuu hakuna nlipotukana au kama kiswahili si rafiki ungesema nikakuandikia kwa lugha yako...
Mchezo huu hauhitaji hasira Kamanda.Aliwahi kukupiga ? pumbavu
Wewe mzima?Edo mgonjwa tukubali tukatae.
Kwani mwenyekiti wenu mbowe anamda gani amekalia hicho kiti toka 2004.....Hivi kuna udictator zaidi ya huo......Safi Sana mh. Lowasa
Lazima tuwaonyeshe tofauti kati ya kutawala na kuongoza
Ukawa kuna viongozi wa kupigiwa mfano
Udikteta sio jadi ya chadema
Haya sasa chenyewe si kikao hao wanaojiita bavicha mbona hawajakizuia na wala polisi hawajazuiaAkizungumza katika mkutano wa mameya na wenyeviti wa Halmahauri watokanao na CHADEMA unaofanyika East Africa Hotel Arusha leo, Mh Lowassa amesema..
Tunataka halmashauri zetu ziwe za mfano Tanzania kwakuwa na Agenda ili tujue nikipi kipaumbele cha kuwatumikia wananchi, pia tuangalie Ni kitegauchumi kipi katika halmashauri husika kinaweza kuwapa wananchi wetu ajira.
Pili Tunataka kuimarisha Chama chetu kwa kushuka chini hadi ngazi ya Msingi ambapo ndipo walipo wanachama watu, (Grass Root.)
Pia nataka niwashauri Mameya wetu kuhakikisha wanashirikiana na wananchi katika kutekeleza ahadi ya Mabadiliko na Maendeleo.
Katika kikao hicho maalumu cha mkakati, Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Vincent Mashinji na Katibu wa Kanda ya Kaskazini wampata fursa ya kutoa mafunzo mkakati na nasaa zao.
View attachment 364518 Picha ya pamoja bada ya session ya kwanza
View attachment 364519
View attachment 364520
View attachment 364521
View attachment 364522
View attachment 364523