Lowassa akiwafunda Mameya wa UKAWA

Lowassa akiwafunda Mameya wa UKAWA

Kweli ukawa watu wa kuwafunda hadi lowassa awepo aibu?
 
Hapo ndipo nguvu ya fedha inapoonekana. Ukiongea wote wanafyata mkia kama mbwa kwa chatu. Huulizwi unaongea wewe kama nani? Kila kitakachofanyika lazima kipate idhini yako kwanza. Pesa inanunua hekima hata kama hukuwa nayo.
 
Hapo ndipo nguvu ya fedha inapoonekana. Ukiongea wote wanafyata mkia kama mbwa kwa chatu. Huulizwi unaongea wewe kama nani? Kila kitakachofanyika lazima kipate idhini yako kwanza. Pesa inanunua hekima hata kama hukuwa nayo.
Hizo ni fikra potofu....
 
Lowassa ni bingwa wa mikakati. ni kawaida yake kujinasibu"sina msamiati wa kushindwa".(in lowassa voice),
 
Hotuba dakika 5... Atawafunda nini?
 
Lowassa ni bingwa wa mikakati. ni kawaida yake kujinasibu"sina msamiati wa kushindwa".(in lowassa voice),


Angekuwa bingwa wa mikakati angekuwa Raisi wa JMTZ leo hii, hakuna mtu aliyewahi kujiandaa na Uraisi kama Lowasa ktk Historia ya nchi hii!
 
Kikao kizuri sana hichi akimaliza hapo akawafunde Na wabunge ili waache kung'ang'ania bunge live huku wakisahau agenda ya msingi.
 
Back
Top Bottom