Lowassa akiwa Rais...

Hakuna haja ya chuki, vijembe na siasa za maji taka ndani ya chama kimoja. Nadhani ikiwa hivi itafaa sana. Uwepo mkakati wa pamoja. Mafahari wawili wawekwe katika zizi moja kisha muafaka ndio njia rahisi ya kupata maridhiano. LOWASA akiwa rais, basi SITTA awe waziri mkuu.

SITTA akiwa rais, LOWASA nae awe waziri mkuu. Nadhani mambo yatakuwa bambam. Dalili zinaonyesha kuwa wazee hawa wameanza kuchukua jaramba taratibu kwa ajili ya kupokea kijiti. Kama ni kweli.

Basi nawatakia mbio njema.

Hivi wewe Juma K huoni kama wote hao ni Magamba? Nani kakwambia kuwa magamba yanahitajika tena 2015?
 
Labda yesu arudi ndo sitta atakuwa waziri mkuu..aliukosa uwaziri mkuu wakati wa awamu ya kwanza jk akichukua urais hatakaa aupate tena...the plan was sitta awe PM lowassa awe waziri wa fedha buy EL akabadilika mwishoni na kuutaka u PM...sitta akanuna na ndo akaanza bifu na EL...ntarudi na details kwa wenye nia ya kujua zaidi...
 
Ama kweli ukustaajabu ya Mussa utaona ya Firauni. Kwani CCM mmeishiwa na watu wa maana hadi mkalambe matapishi? Kwani kilichomuondoa EL madarakani hamkumbuki? kwani alisingiziwa? Mnafikiri atabadilika nini? kwa nini mnapenda kujuta maisha yenu yote? Ama kweli mmetawaliwa na Freemason!Shetani arudi madarakani, mtauzwa na kuchinjwa hadi nyinyi wenyewe, waume na wake zenu na watoto. Mtajuta. Tabia haina dawa. Hebu kumbukeni wizara zote alizoshika alifanya nini cha kuwasaidia watanzania. Ama ni hilo la shule za kata? huo ni uharibifu namba moja! Tatizo ni akili ndogo kuongoza akili kubwa!!!! Lowasa hana akili ya kuwaongoza wasomi, hana 'capacity hiyo'. Anatumia mabavu kuliko akili.Kwanza hajaturejeshea fedha na mali alizotuibia watanzania kama alivyoaagizwa na T.B. Joshua.
Tatizo la Sitta ni unafiki na ukigeugeu. CCM tafuteni sura mpya yenye akili, kama mmeishiwa achieni ngazi. Tumechoka na sura za zamani ambazo hazitusaidii, tunataka sura mpya ambazo zitatusaidia na kuiweka Tanzania katika sura ya ulimwengu kwa mafanikio, sio kwa maovu, ujinga na mauaji kama ilivyo sasa hivi. Aliyeanzisha ujinga huu, kama ametumwa ASHINDWE KATIKA JINA LA YESU KRISTO ALIYE HAI.

Siwezi kushindwa kwa jina la muongo aliyeudanganya ulimwengu atarudi mpaka leo miaka zaidi ya 2000 hajaonekana.
 
Kumekuwa na dhana ya kumpinga huyu kwa kila afanyacho na hii yote ni kutokana kashfa zinazo mtafuna hasa Richmond ambayo ili mpelekea akajiudhuru u PM.
Tuwe wawazi wana JF WOTE HUMU JUKWAANI MTACHUKUA hatua gani endapo CCM itampitisha Mh.Edward Lowasa kuwa Mgombea wa kiti cha Urais 2015 Akashinda na kuwa Rais?

Nyie Wote ambao hamko upande wake na wala hamtamani nchi hii kuwa Mikononi mwa EL mtachukua maamuzi gani?

1] Je mtaunda vikundi vya kupingana na utawala wake?
2] Mtamsaidia kwa ushauri kulisukuma taifa hili mbele kimaendeleo?

Fungukeni tujue isije ikatokea kuwa na vikundi vingi vya UAMSHO,vitakavyokuwa na mlengo wa kushoto.

Mods naomba msiitoe hii thread lengo ni kupenda kufahamu na kuelewa kama El,atakuwa Rais atakutana na changamoto.
 
akishinda anaweza akazipora rasimali za umma kwa kujiachia halafu akajiuzulu urais
 
Ni zaidi ya upumbavu! Atawale EL, viibuke UAMSHO kila kona ya nchi, watuchinje wapendavyo; jambo moja linasimama - EL atapita, UAMSHO watapita, sisi tutapita bali TAIFA LITADUMU MILELE.
 
I will congratulate him and see how he deliver I believe the guy is going to very good.
 
atashindaje? kwa kuchakachua au kwa halali? kama ni kwa halali nitampa ushirikiano coz ndo chaguo la waTZ.
 
Kwa kuwa atakuwa rais na mimi ntakuwa ni mmbunge basi atanichagua kuwa waziri wa vijana na maendeleo ya wanawake
 
just tell your paymaster that all he has to do is this, he should try harder to stay alive b4 2015
 
Akiwa rais huyu jamaa EL itakuwa poa sana. Wavivu watalia sana. Waliomsingizia watahama nchi. " Mheshimiwa mwenyekiti kumbuka nilikushauri tuuvunje mkataba wa richmond lakini wewe ulikataa na ukasema ulishapata ushauri wa kamati kuwa lichmond ni bomba sana"
 
Back
Top Bottom