Ukitaka raha katika nafsi, we mkere mjinga tu ili usikie maneno yake.
ukweli unauma eeeeeeeeh
Hakuna haja ya chuki, vijembe na siasa za maji taka ndani ya chama kimoja. Nadhani ikiwa hivi itafaa sana. Uwepo mkakati wa pamoja. Mafahari wawili wawekwe katika zizi moja kisha muafaka ndio njia rahisi ya kupata maridhiano. LOWASA akiwa rais, basi SITTA awe waziri mkuu. SITTA akiwa rais, LOWASA nae awe waziri mkuu. Nadhani mambo yatakuwa bambam. Dalili zinaonyesha kuwa wazee hawa wameanza kuchukua jaramba taratibu kwa ajili ya kupokea kijiti. Kama ni kweli. Basi nawatakia mbio njema.
SITTA nidhaifu sana ataongeza posho za mawaziri na wakuu wa idara kama alivyofanya kwa wabungeHakuna haja ya chuki, vijembe na siasa za maji taka ndani ya chama kimoja. Nadhani ikiwa hivi itafaa sana. Uwepo mkakati wa pamoja. Mafahari wawili wawekwe katika zizi moja kisha muafaka ndio njia rahisi ya kupata maridhiano. LOWASA akiwa rais, basi SITTA awe waziri mkuu. SITTA akiwa rais, LOWASA nae awe waziri mkuu. Nadhani mambo yatakuwa bambam. Dalili zinaonyesha kuwa wazee hawa wameanza kuchukua jaramba taratibu kwa ajili ya kupokea kijiti. Kama ni kweli. Basi nawatakia mbio njema.
Hakuna haja ya chuki, vijembe na siasa za maji taka ndani ya chama kimoja. Nadhani ikiwa hivi itafaa sana. Uwepo mkakati wa pamoja. Mafahari wawili wawekwe katika zizi moja kisha muafaka ndio njia rahisi ya kupata maridhiano. LOWASA akiwa rais, basi SITTA awe waziri mkuu.
SITTA akiwa rais, LOWASA nae awe waziri mkuu. Nadhani mambo yatakuwa bambam. Dalili zinaonyesha kuwa wazee hawa wameanza kuchukua jaramba taratibu kwa ajili ya kupokea kijiti. Kama ni kweli.
Basi nawatakia mbio njema.
Hakuna haja ya chuki, vijembe na siasa za maji taka ndani ya chama kimoja. Nadhani ikiwa hivi itafaa sana. Uwepo mkakati wa pamoja. Mafahari wawili wawekwe katika zizi moja kisha muafaka ndio njia rahisi ya kupata maridhiano. LOWASA akiwa rais, basi SITTA awe waziri mkuu.
SITTA akiwa rais, LOWASA nae awe waziri mkuu. Nadhani mambo yatakuwa bambam. Dalili zinaonyesha kuwa wazee hawa wameanza kuchukua jaramba taratibu kwa ajili ya kupokea kijiti. Kama ni kweli.
Basi nawatakia mbio njema.