Datiusk Member Jul 12, 2015 7 0 Jul 18, 2015 #121 Hakika Ikulu kunawapa kibuli wengi!!! Huyu jama anaganga na kufata Hera za kuwalipa waliothamini mbio zake za urais!!!!
Hakika Ikulu kunawapa kibuli wengi!!! Huyu jama anaganga na kufata Hera za kuwalipa waliothamini mbio zake za urais!!!!
SHEMGUNGA JF-Expert Member Jan 13, 2012 666 147 Jul 18, 2015 #122 sababu kuu n kwamba unataka kuikomboa wewe isife masikin kwan nchi imeshataifishwa mda sana na kuuzwa na baba R kuna haja ya kuokoa tz yetu
sababu kuu n kwamba unataka kuikomboa wewe isife masikin kwan nchi imeshataifishwa mda sana na kuuzwa na baba R kuna haja ya kuokoa tz yetu
S Smwantuge Senior Member Feb 14, 2014 154 29 Jul 18, 2015 #123 Hivi CCM E.Lowasa akiwa rais wa nchi hii kupitia UKAWA mtafanyaje? Yangu macho.