Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,880
- 2,761
Hivi Nape anaingiaje hapa? Nimesoma stori yote uloweka hapo hakuna mahali kuhusika kwa Nape kwenye uchaguzi wa Arumeru lakini kichwani mwako kwakuwa Nape ni mwiba kwa ufisadi basi usipomtaja hupumui!
Nafurahia jinsi mafisadi mnavyoteswa na jina Nape!thank you God kwa kuniwezesha kufanya yote niliyofanya kuwatetea Wanzania!
umeshajua sasa umeingiaje hapo?