Lowassa ahutubia Baraza Kuu la CHADEMA

Lowassa ahutubia Baraza Kuu la CHADEMA

Chadema tusonge mbele kama babu slaa atakuja basi aendelee lakini tusipoteze muda kumbembeleza mtu asie heshimu mawazo ya wengine
 
Magwanda yake bado yako Uingereza yanaandaliwa,,Hayo ni Rais ajae hawezi kuvaa hayo magwanda yenu ya kimachinga
Hiyo sasa dharau kwa wanachadema laki si pesa, unaitaji kufikiri kabla ya kupost matusi yako kama haya, kwa wana cdm na ukawa wako pamoja kumuondoa mkoloni ccm wee unaleta swaga za lumumba? Tafakari na chukua hatua kama kweli unahitaji mabadiliko.
 
Siyo tu kuwa havai magwanda lakini hata zile sare za fulana na kofia za Chadema nazo 'hazigusi' mwili wake.

Inawezekana kimwili yupo Chadema lakini kiroho bado yupo Sisiemu.


Watu wengi wapo CCM kimwli kiroho wapo upinzani na hivyo kura zao watazipiga hivyo. Watu wanahitaji mabadiliko wamechoka hasa vijana wanaosubiri sanduku la kura ili wafanye kweli!
 
Kama leo hii mnachukia.mfumo wa ccm.inakuwaje leo tena mnapokea watu waliounda huo mfumo?
Tena kirahisi tu na kuwapa nafasi muhimu,unafikiri hapo unajenga?wako raia na ndugu wana machungu baada ya ndugu zao kuuwawa na wengine ni vilema katika harakati za ukombozi leo hii wao hawana maana tena unapokea wale waliokuwa wanatoa amri mpigwe this is fu**** bull****,na nawaambia hizi kelele.ziko tu hapa mjini bado ccm.itashinda na nakuambia hizi ndio zama za CUF kupata nguvu chadema wameshakuwa hovyoo
 
Wapenzi wa Lowasa(sio Chadema), wanafana na mtoto kilaza lakini akiulizwa vp mtihani ulikuwaje baada ya mtihani, wengi hujibu ulikuwa wa kawaıda, yote yametoka.Unaweza pata div.ganı?-Hata wanı wakisahihisha vzuri.Mtu huyo anafahamika kwa wazazi pamoja walimu wake kuwa hata kupata four ya 33 ni majaaliwa!
 
Back
Top Bottom