USHAURI WA BURE KWA CHADEMA.
Mfanyieni rehearsal ya kutosha Edward Lowasa ili aendane na falsafa ya chama na salamu ya chama.
Pili muambieni CHADEMA sio chama tawala hivyo ili wananchi wamuelewe awaeleze maovu ya serikali ya CCM na asilete mambo ya ustaarabu wa CCM kwa CHADEMA.
Ikumbukwe CCM huwa inashinda sio kwa ustaarabu wa kampeni bali kwa wingi wa wanachama na hila za uchaguzi. Na ajue kuwa CHADEMA imekuwa ikiendelea kukua sio kwa ustaarabu wa kampeni bali kwa kufichua maovu ya watawala.
Hivyo mfundisheni kuendana na organization culture ya CHADEMA na ajitambue kuwa sasa yupo upinzani hata kama sio kwa hiari yake.
Nawasilisha