Lowassa ahutubia Baraza Kuu la CHADEMA

Lowassa ahutubia Baraza Kuu la CHADEMA

Lowasa ni rais wa Watanzania wote .
Pia anawakilisha UKAWA .
Hata Nyerere hakuwahi kuvaa gwanda la kijani la CCM.
Petty argument, kutetea fisadi kazi sana, ndio maana slaa kaamua kukimbia, kaona maigizo yameanza wacha ajikalie pembeni
 
Najua upo kazini lkn ukweli ni kwamba Richmond ilikuwa ni kwa manufaa ya uongozi wa juu wa nchi. (Ndo ulimkataza asivunje huo mkataba) ref. Majibu ya swali linalohusiana na Richmond aloloulizwa na mwandishi siku alipoibwaga CCM pale Kunduchi beach hotel.

tatizo la akili za bavicha ndio hili,jibu hoja,ni waziri mkuu mstaafu au aliyefukuzwa kwa kuifisidi nchi tena kwa maneno ya viongozi wenu?
 
USHAURI WA BURE KWA CHADEMA.

Mfanyieni rehearsal ya kutosha Edward Lowasa ili aendane na falsafa ya chama na salamu ya chama.

Pili muambieni CHADEMA sio chama tawala hivyo ili wananchi wamuelewe awaeleze maovu ya serikali ya CCM na asilete mambo ya ustaarabu wa CCM kwa CHADEMA.

Ikumbukwe CCM huwa inashinda sio kwa ustaarabu wa kampeni bali kwa wingi wa wanachama na hila za uchaguzi. Na ajue kuwa CHADEMA imekuwa ikiendelea kukua sio kwa ustaarabu wa kampeni bali kwa kufichua maovu ya watawala.

Hivyo mfundisheni kuendana na organization culture ya CHADEMA na ajitambue kuwa sasa yupo upinzani hata kama sio kwa hiari yake.

Nawasilisha
 
ccm ime fail haisikiki yamebaki misukule michache Edo anaizika ccm masikini makonda na nepi
 
Si kahamia juzi tu, bado yanaandaliwa kwa umakini mkubwa kabisa. Subiri wakati wa kampeni utamuona. Amesema mbinu za aduai zinajulikana kwa hiyo majibu wameshayapata. Maana hata kura za maoni ndani ya chama chao ni wizi mtupu wao kwa wao. Kweli chama cha majambazi.
Mbona kwa Msigwa Iringa wameiba kura, wametoa rushwa, watu wakiongea mnasema sio utaratibu wa chama.
 
tatizo la akili za bavicha ndio hili,jibu hoja,ni waziri mkuu mstaafu au aliyefukuzwa kwa kuifisidi nchi tena kwa maneno ya viongozi wenu?
Ni waziri mkuu aliyejiuzulu ili kumsaidia msanii mmoja wa magogoni asiumbuke!! Shame on Kilaza!!!
 
Wap lowassa alifukuzwa?thibitisha kaul yako la sivyo utakula kisomo dakika za kuhesabu blad ----- wahed
tatizo la akili za bavicha ndio hili,jibu hoja,ni waziri mkuu mstaafu au aliyefukuzwa kwa kuifisidi nchi tena kwa maneno ya viongozi wenu?
 
jibu zuri sana havai gwanda la cdm kwa kuwa anasimamama kama ukawa lakini kumbuka ukawa sio chama kinachotambulika kikatiba na kanuni za uchaguzi ki sheria ya uchaguzi ni lazima avae rangi iliyochaguliwa na chama kilichomdhamini
 
Wap lowassa alifukuzwa?thibitisha kaul yako la sivyo utakula kisomo dakika za kuhesabu blad ----- wahed

tafuta maazimio ya bunge kuhusu richmond kunguru maji wewe! sio mnaleta viroba mpaka mitandaoni huku!
 
Mbona kwa Msigwa Iringa wameiba kura, wametoa rushwa, watu wakiongea mnasema sio utaratibu wa chama.

Aliiba kura nani? Msigwa kwa Iringa hakuna mpinzani kwa Chadema hata kidogo. Kama kuna aliyeibiwa kura au hakuridhika akata rufaa makao makuu au aende mahakamani.
 
Hiki sasa hivi sio chama tena. Hata kukiita chama cha majambazi bado ni kukipa hadhi. Hili ni GENGE LA MAHARAMIA.

Haswaa mkuu HORSE POWER. Watanzania waelimishwe na wewe elimisha ndugu zako na marafiki.
 
Last edited by a moderator:
USHAURI WA BURE KWA CHADEMA.

Mfanyieni rehearsal ya kutosha Edward Lowasa ili aendane na falsafa ya chama na salamu ya chama.

Pili muambieni CHADEMA sio chama tawala hivyo ili wananchi wamuelewe awaeleze maovu ya serikali ya CCM na asilete mambo ya ustaarabu wa CCM kwa CHADEMA.

Ikumbukwe CCM huwa inashinda sio kwa ustaarabu wa kampeni bali kwa wingi wa wanachama na hila za uchaguzi. Na ajue kuwa CHADEMA imekuwa ikiendelea kukua sio kwa ustaarabu wa kampeni bali kwa kufichua maovu ya watawala.

Hivyo mfundisheni kuendana na organization culture ya CHADEMA na ajitambue kuwa sasa yupo upinzani hata kama sio kwa hiari yake.

Nawasilisha

Haya ndiyo maneno, bravo dude, hope CHADEMA wameinyaka hii. Unafaa kwenye intelligence team ya UKAWA
 
Hii njemba ghafla inaonekana ina afya ya kutosha, maajabu ya Musa haya!
 
Back
Top Bottom