Lowassa ahutubia Baraza Kuu la CHADEMA

Lowassa ahutubia Baraza Kuu la CHADEMA

Mzee Chizi na Makongoro Mahanga ndio magwiji wa kuiba kura na ndio hivyo washatoka. Saizi kabaki mmoja tu Masaburi

Kwakweli nafurahi kukaa huu mtaa maana ,umehamasika kila mtu anakichinjio tayari kuwachinja ccm
 
Leo hii CCM amegeuka adui!!!!??? It sounds rhetoric when Lowassa says it.
 
"Mbinu za adui zinajulikana". Kauli nzito sana hiyo kutoka kwa mtu aliyewahi kuwa waziri mkuu ndani ya chama tawala. Ukweli tuseme kwa uwazi kabisa, hilo ndilo linawapa taabu sana viongozi waliopo katika chama tawala kwani wanajua mbinu zao zote wafanyazo sasa sio siri tena zinafahamika.
Umekuwepo ushabiki maandazi mitandaoni hasa hapa JF, lakini wale wenyewe wazito hofu ni kubwa mno.
 
Si kahamia juzi tu, bado yanaandaliwa kwa umakini mkubwa kabisa. Subiri wakati wa kampeni utamuona. Amesema mbinu za aduai zinajulikana kwa hiyo majibu wameshayapata. Maana hata kura za maoni ndani ya chama chao ni wizi mtupu wao kwa wao. Kweli chama cha majambazi.

Hiki sasa hivi sio chama tena. Hata kukiita chama cha majambazi bado ni kukipa hadhi. Hili ni GENGE LA MAHARAMIA.
 
Mnataka kumuua Slaa bure!! Slaa alikuwa ashakuwa Mseveni wa CHADEMA akiwa na ndoto za kupambana na Magufuri!! Slaa unamfahamu Magufuri au unamsikia?
 
Sijaona chama cha Wapumbavu kama CHADEMA tulikuwa tunasikia lakini sasa wametuhakikishia wenyewe need I say more.
 
Ninao ushahidi lukuki kumuhusu fisadi Lowasa, wa kwanza kabisa Richmond huwo uko wazi, wa pili kukatwa kwa jina lake CCM kwa sababu ya Ufisadi hii ndiyo sababu iliyotolewa na chama chake hivyo angepinga kwa kwenda mahakamani kwa kusingiziwa kuwa fisadi lkn hakufanya hivyo, Ushahidi wa Tatu ni Mwembe yanga alitajwa na chadema kama ni moja kati ya mafisadi papa TZ na hakwenda mahakamai kupinga hilo, wa nne Mtoto wake alikuwa anatafutwa Uingereza kwa kumiliki nyumba ya mamilioni wakati yeye ni mtoto wa mfanyakazi wa Serikali, wa tano Nyumba ya ubalozi wa AK Masaki ni ya kwake...

Tangulia mahakama ya kisutu mkuu
 
inabid hili swala. liangaliwe upya. gwanda muhimu. Hiv m4c itaenda kweli?
 
Ninao ushahidi lukuki kumuhusu fisadi Lowasa, wa kwanza kabisa Richmond huwo uko wazi, wa pili kukatwa kwa jina lake CCM kwa sababu ya Ufisadi hii ndiyo sababu iliyotolewa na chama chake hivyo angepinga kwa kwenda mahakamani kwa kusingiziwa kuwa fisadi lkn hakufanya hivyo, Ushahidi wa Tatu ni Mwembe yanga alitajwa na chadema kama ni moja kati ya mafisadi papa TZ na hakwenda mahakamai kupinga hilo, wa nne Mtoto wake alikuwa anatafutwa Uingereza kwa kumiliki nyumba ya mamilioni wakati yeye ni mtoto wa mfanyakazi wa Serikali, wa tano Nyumba ya ubalozi wa AK Masaki ni ya kwake...

Hata sis tuna ushahidi wa ufisadi wa magufuli
Kwanza.kumuuzia hawara nyumba za taifa kwa bei ya kutupa
Pili ufisadi.wiAra ya ujenzi refer mkaguzi mkuu wa serikali
 
Na EL ni fundi ile mitambo ya Nec yote yeye ndio aliioda anaijuwa in and out
Nape atajificha kama Dr mwaka huu

Hahahaha kwani umemsikia tena,yupo kimya ye mwenyewe kanaswa na takukuru
 
Nataka kusikiliza alivyohutubia, nitapata wapi nimsikilize?
 
Baada ya uchaguzi anasepa ndio mana hajarudisha hata kadi yetu
 
Sijaona chama cha Wapumbavu kama CHADEMA tulikuwa tunasikia lakini sasa wametuhakikishia wenyewe need I say more.
Msiwalaumu,tatizo lao ni safu nyembamba ya uongozi kama alivyowahi kuwaambia Mzee sitta
 
Back
Top Bottom