Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,467
- 11,641
Pesa tu
Kwa Kuwa inamhusu mmeo

Pamoja na deal cdm imepata mafanikio makubwa ikiwemo na kuongoza halmashauri kubwa ikiwemo jiji la dar.Watu walishajipigia dili mapema
NyieVipi,mbona umekuwa mkali!Au ni mali yako pekee?Kuwa wazi ili wasije kukunyang'anya na kukuumizia .Lowasaa anakuwashae
Kuhusu Lowasa, siyo Chadema tu yule mzee ana kipawa cha kipekee. Matukio mengi anapofika Lowasa lazima utahua kuna mtu mzito kafika japo hana dola. Mifano ni Jubilee ya ndoa ya Mzee Mkapa au hata kwenye msiba wa Meya Mstaafu(Dr DIDAS-RIP), hiyo ni nyota ya mtu, iko hivyo na itabaki hivyo.Watu wengi wana confuse;
Chadema imeungana na Edward Lowassa sio Lowassa kujiunga na Chadema.
Sumaye na Lowassa wote ni Wajumbe wa Kamati kuu na Mawaziri Wakuu wastaafu tena kwa Seniority Sumaye aliwahi kuwa PM kabla ya Lowassa na kaitumikia nafasi hiyo for 10 years tofaut na Lowassa alietumikia kwa Miaka miwili kabla ya kufurushwa na Wabunge lakin bado Lowassa akiingia Mkutanoni Wote wanasimama Mpaka Muasisi Mzee Mtei! Shikamoo Ngoyai
Hivi hili nalo lina athari kubwa kitaifa kama vile kuvuruga uchaguzi wa Meya Tanga, Kinondoni na uchaguzi wa rais Zanzibar eeh?!!![]()
Hili lazima tulizungumze, Edward Lowassa ni mjumbe wa kamati kuu tena asiye na hata mwaka mmoja katika wadhifa huo lakini katika mikutano ya CHADEMA inashangaza kwani;
Hii ndio tunaita CHADEMA imegeuka kichwa chini miguu juu, watu wakisema kakinunua chama majibu ya hasira na matusi hutolewa, 'leta ushahidi'. kama kuna mwenye katiba ya CHADEMA atutolee ili tuweze kujua majukumu ya mbunge wa kamati kuu. Ikumbukwe Sumaye naye 'alizawadiwa' ujumbe wa kamati kuu kwanini hakai meza kuu?. Kuna maswali machache pia ya kujiuliza;
- Huingia wa mwisho na kulakiwa na mwenyekiti, ndugu Mbowe na, Makamu wenyeviti bara na Zanzibar, Katibu Mkuu na Manaibu.
- Hupanga mambo ya kujadliliwa katika mikutano
- Ana kura ya veto, kura yake ni ya turufu ni kubwa kuliko wajumbe wa mkutano wowote wa CHADEMA.
- Anakaa Meza kuu wakati wajumbe wa 'level' yake wanakaa viti vya kawaida.
- Posho yake ya kikao ni kubwa kuliko ya Mwenyekiti.
Tujadili kwa mapana na si mihemuko kamwe usitukane.
- Je thamani ya wajumbe wakongwe CHADEMA kama Prof. Baregu, Mabere Marando ni ndogo kulinganisha na Lowassa?
- Tundu yuko wapi wakati katiba ya CHADEMA inavunjwa?
Tena aliona muugiza kabisa yaani zaidi ya muujiza!!!!We unashangaa kukaa meza kuu kuna mwenzako kumsalimia Lowasa akaona muujiza utazani yule kipofu alipomuona YESU
Lowasa si wamchezo mchezo
Yaani kwamba nawe umechangia hoja hapa! Ase!!!BY M2020: KUIAMINI CHADEMA KWA SASA UNATAKIWA KUWA NA PUA, MDOMO, LIKICHWA KUBWA TUPU NA MASIKIO BASI. HAIHITAJI BUSARA, MAARIFA WALA HEKIMA.
UKIWA NA HEKIMA, MAARIFA NA BUSARA UTAACHANA NAYO MAZIMA.
IMEJAAA UTAPELI NA UPIGAJI DILI HAINA ISSUE YOYOTE NA SIASA HOVYO ZA KITOTO NA UPUUZI.
Kwa a naye taka kutukana MATUSI yote yaende kwa waume zake pemba.