Lowassa abadili protokali ya CHADEMA mikutanoni

Lowassa abadili protokali ya CHADEMA mikutanoni

Uwongo tulionao na tunaokalilishwa na wakubwa zetu wa chama utasikia " kwa kuwa alikuwa ni mgombea wetu wa uraisi"lakini dr.slaa aligombea na hakuwa anaishi hivyo,yaani huyu lowasa natamani aondoke tu kwenye chama
 
14716130_198722587228233_8947524142698280434_n.jpg


Hili lazima tulizungumze, Edward Lowassa ni mjumbe wa kamati kuu tena asiye na hata mwaka mmoja katika wadhifa huo lakini katika mikutano ya CHADEMA inashangaza kwani;
  • Huingia wa mwisho na kulakiwa na mwenyekiti, ndugu Mbowe na, Makamu wenyeviti bara na Zanzibar, Katibu Mkuu na Manaibu.
  • Hupanga mambo ya kujadliliwa katika mikutano
  • Ana kura ya veto, kura yake ni ya turufu ni kubwa kuliko wajumbe wa mkutano wowote wa CHADEMA.
  • Anakaa Meza kuu wakati wajumbe wa 'level' yake wanakaa viti vya kawaida.
  • Posho yake ya kikao ni kubwa kuliko ya Mwenyekiti.
Hii ndio tunaita CHADEMA imegeuka kichwa chini miguu juu, watu wakisema kakinunua chama majibu ya hasira na matusi hutolewa, 'leta ushahidi'. kama kuna mwenye katiba ya CHADEMA atutolee ili tuweze kujua majukumu ya mbunge wa kamati kuu. Ikumbukwe Sumaye naye 'alizawadiwa' ujumbe wa kamati kuu kwanini hakai meza kuu?. Kuna maswali machache pia ya kujiuliza;
  • Je thamani ya wajumbe wakongwe CHADEMA kama Prof. Baregu, Mabere Marando ni ndogo kulinganisha na Lowassa?
  • Tundu yuko wapi wakati katiba ya CHADEMA inavunjwa?
Tujadili kwa mapana na si mihemuko kamwe usitukane.
Ama kweli wahenga walisema ujinga haupunguzi ukubwa wa kichwa kichwa cha mtu! Kingekutambulisha
 
Uwongo tulionao na tunaokalilishwa na wakubwa zetu wa chama utasikia " kwa kuwa alikuwa ni mgombea wetu wa uraisi"lakini dr.slaa aligombea na hakuwa anaishi hivyo,yaani huyu lowasa natamani aondoke tu kwenye chama
Posho kubwa ni ngapi? Au ujinga ujinga tu
 
Kwani mchunga ng'ombe na ng'ombe nani hutangulia!!? Mwacheni mzee wa watu achunge ng'ombe wake.......!!
Note: Ng'ombe~Nyumbu
 
Labda protocol inayoangaliwa ni mkubwa kuliko wote
 
14716130_198722587228233_8947524142698280434_n.jpg


Hili lazima tulizungumze, Edward Lowassa ni mjumbe wa kamati kuu tena asiye na hata mwaka mmoja katika wadhifa huo lakini katika mikutano ya CHADEMA inashangaza kwani;
  • Huingia wa mwisho na kulakiwa na mwenyekiti, ndugu Mbowe na, Makamu wenyeviti bara na Zanzibar, Katibu Mkuu na Manaibu.
  • Hupanga mambo ya kujadliliwa katika mikutano
  • Ana kura ya veto, kura yake ni ya turufu ni kubwa kuliko wajumbe wa mkutano wowote wa CHADEMA.
  • Anakaa Meza kuu wakati wajumbe wa 'level' yake wanakaa viti vya kawaida.
  • Posho yake ya kikao ni kubwa kuliko ya Mwenyekiti.
Hii ndio tunaita CHADEMA imegeuka kichwa chini miguu juu, watu wakisema kakinunua chama majibu ya hasira na matusi hutolewa, 'leta ushahidi'. kama kuna mwenye katiba ya CHADEMA atutolee ili tuweze kujua majukumu ya mbunge wa kamati kuu. Ikumbukwe Sumaye naye 'alizawadiwa' ujumbe wa kamati kuu kwanini hakai meza kuu?. Kuna maswali machache pia ya kujiuliza;
  • Je thamani ya wajumbe wakongwe CHADEMA kama Prof. Baregu, Mabere Marando ni ndogo kulinganisha na Lowassa?
  • Tundu yuko wapi wakati katiba ya CHADEMA inavunjwa?
Tujadili kwa mapana na si mihemuko kamwe usitukane.
MNAOLALAMIKA SIO WA KASKAZ TAFUTENI CHA KWENU
 
Wakati unaandika hayo hujataka kufikiria idadi ya kura za uraisi alizopata...zilipishana kwa kiwango gani na za ngosha!?impact yake kwa wabungu wa ukawa na ruzuku kwa vyama vya ukawa!?...je hufikiriii kuwa anastahili heshima kwa mafanikio yote hayo aliyosababisha kwa cdm na ukawa!?
Fikiria vzr kabla ya kuandika.
ni kipengele gani cha katiba ya Chadema kinachosema Lowasa akae meza kuu kwa sababu alipata kura nyingi?
 
Hivi ile project ya UKUTA haikupata matofali na cement za kujengea? mi nadhani chadema tuwaachie chadema tu
 
14716130_198722587228233_8947524142698280434_n.jpg


Hili lazima tulizungumze, Edward Lowassa ni mjumbe wa kamati kuu tena asiye na hata mwaka mmoja katika wadhifa huo lakini katika mikutano ya CHADEMA inashangaza kwani;
  • Huingia wa mwisho na kulakiwa na mwenyekiti, ndugu Mbowe na, Makamu wenyeviti bara na Zanzibar, Katibu Mkuu na Manaibu.
  • Hupanga mambo ya kujadliliwa katika mikutano
  • Ana kura ya veto, kura yake ni ya turufu ni kubwa kuliko wajumbe wa mkutano wowote wa CHADEMA.
  • Anakaa Meza kuu wakati wajumbe wa 'level' yake wanakaa viti vya kawaida.
  • Posho yake ya kikao ni kubwa kuliko ya Mwenyekiti.
Hii ndio tunaita CHADEMA imegeuka kichwa chini miguu juu, watu wakisema kakinunua chama majibu ya hasira na matusi hutolewa, 'leta ushahidi'. kama kuna mwenye katiba ya CHADEMA atutolee ili tuweze kujua majukumu ya mbunge wa kamati kuu. Ikumbukwe Sumaye naye 'alizawadiwa' ujumbe wa kamati kuu kwanini hakai meza kuu?. Kuna maswali machache pia ya kujiuliza;
  • Je thamani ya wajumbe wakongwe CHADEMA kama Prof. Baregu, Mabere Marando ni ndogo kulinganisha na Lowassa?
  • Tundu yuko wapi wakati katiba ya CHADEMA inavunjwa?
Tujadili kwa mapana na si mihemuko kamwe usitukane.


Mbona nyinyi Singer aliwanunua sisi hatulalamiki
 
Labda ana cheo kisichoandikwa ndani ya katiba, hatuwezi kujua.
 
Back
Top Bottom