Nenda lumumba kaulize kinana na ole sendeka nani boss sasa hivi
Kinana ndio Boss, yeye ndie aliyemleta Ole.
Nenda lumumba kaulize kinana na ole sendeka nani boss sasa hivi
Ama kweli wahenga walisema ujinga haupunguzi ukubwa wa kichwa kichwa cha mtu! Kingekutambulisha![]()
Hili lazima tulizungumze, Edward Lowassa ni mjumbe wa kamati kuu tena asiye na hata mwaka mmoja katika wadhifa huo lakini katika mikutano ya CHADEMA inashangaza kwani;
Hii ndio tunaita CHADEMA imegeuka kichwa chini miguu juu, watu wakisema kakinunua chama majibu ya hasira na matusi hutolewa, 'leta ushahidi'. kama kuna mwenye katiba ya CHADEMA atutolee ili tuweze kujua majukumu ya mbunge wa kamati kuu. Ikumbukwe Sumaye naye 'alizawadiwa' ujumbe wa kamati kuu kwanini hakai meza kuu?. Kuna maswali machache pia ya kujiuliza;
- Huingia wa mwisho na kulakiwa na mwenyekiti, ndugu Mbowe na, Makamu wenyeviti bara na Zanzibar, Katibu Mkuu na Manaibu.
- Hupanga mambo ya kujadliliwa katika mikutano
- Ana kura ya veto, kura yake ni ya turufu ni kubwa kuliko wajumbe wa mkutano wowote wa CHADEMA.
- Anakaa Meza kuu wakati wajumbe wa 'level' yake wanakaa viti vya kawaida.
- Posho yake ya kikao ni kubwa kuliko ya Mwenyekiti.
Tujadili kwa mapana na si mihemuko kamwe usitukane.
- Je thamani ya wajumbe wakongwe CHADEMA kama Prof. Baregu, Mabere Marando ni ndogo kulinganisha na Lowassa?
- Tundu yuko wapi wakati katiba ya CHADEMA inavunjwa?
Posho kubwa ni ngapi? Au ujinga ujinga tuUwongo tulionao na tunaokalilishwa na wakubwa zetu wa chama utasikia " kwa kuwa alikuwa ni mgombea wetu wa uraisi"lakini dr.slaa aligombea na hakuwa anaishi hivyo,yaani huyu lowasa natamani aondoke tu kwenye chama
Hawa wakiitwa vilaza washkuru maana jina lao kwa sasa dunian halipo..

Mkuu endelea na hizohizo habariPosho kubwa ni ngapi? Au ujinga ujinga tu
anzisha hiyo hoja yako kwingine..hapa jikite kwenye hili la chadema kichwa chini miguu juu.Tunataka kwanza mwenyekiti wa ccm ahakiki PhD yake ndo tuanze kujadili hoja nyepesi kama hii
anzisha hiyo hoja yako kwingine..hapa jikite kwenye hili la chadema kichwa chini miguu juu.Kama Si upashkuna,wewe unachama chako kinachofuata katiba yake .Kwa Jirani Kuna kuhusu nini?
MNAOLALAMIKA SIO WA KASKAZ TAFUTENI CHA KWENU![]()
Hili lazima tulizungumze, Edward Lowassa ni mjumbe wa kamati kuu tena asiye na hata mwaka mmoja katika wadhifa huo lakini katika mikutano ya CHADEMA inashangaza kwani;
Hii ndio tunaita CHADEMA imegeuka kichwa chini miguu juu, watu wakisema kakinunua chama majibu ya hasira na matusi hutolewa, 'leta ushahidi'. kama kuna mwenye katiba ya CHADEMA atutolee ili tuweze kujua majukumu ya mbunge wa kamati kuu. Ikumbukwe Sumaye naye 'alizawadiwa' ujumbe wa kamati kuu kwanini hakai meza kuu?. Kuna maswali machache pia ya kujiuliza;
- Huingia wa mwisho na kulakiwa na mwenyekiti, ndugu Mbowe na, Makamu wenyeviti bara na Zanzibar, Katibu Mkuu na Manaibu.
- Hupanga mambo ya kujadliliwa katika mikutano
- Ana kura ya veto, kura yake ni ya turufu ni kubwa kuliko wajumbe wa mkutano wowote wa CHADEMA.
- Anakaa Meza kuu wakati wajumbe wa 'level' yake wanakaa viti vya kawaida.
- Posho yake ya kikao ni kubwa kuliko ya Mwenyekiti.
Tujadili kwa mapana na si mihemuko kamwe usitukane.
- Je thamani ya wajumbe wakongwe CHADEMA kama Prof. Baregu, Mabere Marando ni ndogo kulinganisha na Lowassa?
- Tundu yuko wapi wakati katiba ya CHADEMA inavunjwa?
ni kipengele gani cha katiba ya Chadema kinachosema Lowasa akae meza kuu kwa sababu alipata kura nyingi?Wakati unaandika hayo hujataka kufikiria idadi ya kura za uraisi alizopata...zilipishana kwa kiwango gani na za ngosha!?impact yake kwa wabungu wa ukawa na ruzuku kwa vyama vya ukawa!?...je hufikiriii kuwa anastahili heshima kwa mafanikio yote hayo aliyosababisha kwa cdm na ukawa!?
Fikiria vzr kabla ya kuandika.
![]()
Hili lazima tulizungumze, Edward Lowassa ni mjumbe wa kamati kuu tena asiye na hata mwaka mmoja katika wadhifa huo lakini katika mikutano ya CHADEMA inashangaza kwani;
Hii ndio tunaita CHADEMA imegeuka kichwa chini miguu juu, watu wakisema kakinunua chama majibu ya hasira na matusi hutolewa, 'leta ushahidi'. kama kuna mwenye katiba ya CHADEMA atutolee ili tuweze kujua majukumu ya mbunge wa kamati kuu. Ikumbukwe Sumaye naye 'alizawadiwa' ujumbe wa kamati kuu kwanini hakai meza kuu?. Kuna maswali machache pia ya kujiuliza;
- Huingia wa mwisho na kulakiwa na mwenyekiti, ndugu Mbowe na, Makamu wenyeviti bara na Zanzibar, Katibu Mkuu na Manaibu.
- Hupanga mambo ya kujadliliwa katika mikutano
- Ana kura ya veto, kura yake ni ya turufu ni kubwa kuliko wajumbe wa mkutano wowote wa CHADEMA.
- Anakaa Meza kuu wakati wajumbe wa 'level' yake wanakaa viti vya kawaida.
- Posho yake ya kikao ni kubwa kuliko ya Mwenyekiti.
Tujadili kwa mapana na si mihemuko kamwe usitukane.
- Je thamani ya wajumbe wakongwe CHADEMA kama Prof. Baregu, Mabere Marando ni ndogo kulinganisha na Lowassa?
- Tundu yuko wapi wakati katiba ya CHADEMA inavunjwa?
Fungua uzi wa kulalamika.Mbona nyinyi Singer aliwanunua sisi hatulalamiki
Hao vijana wapo radhi kudhalilishwa kwa kutetea udhalimu wa Mbowe.ni kipengele gani cha katiba ya Chadema kinachosema Lowasa akae meza kuu kwa sababu alipata kura nyingi?
Na yy atakua muhuni na fisadiKwanini Mwanasheria Msomi Tundu Lissu anashindwa kukemea Protocal za Kihuni na Kifisadi!