Tatizo siyo kuachwa wafanye mambo yao wenyewe , tatizo ni ugumu wa majibu ya hya maswali yalioulizwa:Kwani we kinachokuuma ni nini kwani ukiwaacha wakafanya mambo yao wewe unapungukiwa na nini acha umbea
CHADEMA wanafikiri wananchi wanaweza kuwaamini kwa kila jambo tena, Watanzania wameshwapuuza siku nyingi.Hoja hapa ya kujadili ipo...katiba ya Chadema kwanini ivunjwe???watawezaje kuilinda katiba ya nchi?
Watu wengi wana confuse;
Chadema imeungana na Edward Lowassa sio Lowassa kujiunga na Chadema.
Sumaye na Lowassa wote ni Wajumbe wa Kamati kuu na Mawaziri Wakuu wastaafu tena kwa Seniority Sumaye aliwahi kuwa PM kabla ya Lowassa na kaitumikia nafasi hiyo for 10 years tofaut na Lowassa alietumikia kwa Miaka miwili kabla ya kufurushwa na Wabunge lakin bado Lowassa akiingia Mkutanoni Wote wanasimama Mpaka Muasisi Mzee Mtei! Shikamoo Ngoyai
Wakati unaandika hayo hujataka kufikiria idadi ya kura za uraisi alizopata...zilipishana kwa kiwango gani na za ngosha!?impact yake kwa wabungu wa ukawa na ruzuku kwa vyama vya ukawa!?...je hufikiriii kuwa anastahili heshima kwa mafanikio yote hayo aliyosababisha kwa cdm na ukawa!?![]()
Hili lazima tulizungumze, Edward Lowassa ni mjumbe wa kamati kuu tena asiye na hata mwaka mmoja katika wadhifa huo lakini katika mikutano ya CHADEMA inashangaza kwani;
Hii ndio tunaita CHADEMA imegeuka kichwa chini miguu juu, watu wakisema kakinunua chama majibu ya hasira na matusi hutolewa, 'leta ushahidi'. kama kuna mwenye katiba ya CHADEMA atutolee ili tuweze kujua majukumu ya mbunge wa kamati kuu. Ikumbukwe Sumaye naye 'alizawadiwa' ujumbe wa kamati kuu kwanini hakai meza kuu?. Kuna maswali machache pia ya kujiuliza;
- Huingia wa mwisho na kulakiwa na mwenyekiti, ndugu Mbowe na, Makamu wenyeviti bara na Zanzibar, Katibu Mkuu na Manaibu.
- Hupanga mambo ya kujadliliwa katika mikutano
- Ana kura ya veto, kura yake ni ya turufu ni kubwa kuliko wajumbe wa mkutano wowote wa CHADEMA.
- Anakaa Meza kuu wakati wajumbe wa 'level' yake wanakaa viti vya kawaida.
- Posho yake ya kikao ni kubwa kuliko ya Mwenyekiti.
Tujadili kwa mapana na si mihemuko kamwe usitukane.
- Je thamani ya wajumbe wakongwe CHADEMA kama Prof. Baregu, Mabere Marando ni ndogo kulinganisha na Lowassa?
- Tundu yuko wapi wakati katiba ya CHADEMA inavunjwa?
Kanunua chama huyo. Lazima akina Mbowe wamsujudieKuna hoja hapa. Tujadili
Wananchi gani unawasemea mkuu mbona mtaani kwetu chademaaaa damu?CHADEMA wanafikiri wananchi wanaweza kuwaamini kwa kila jambo tena, Watanzania wameshwapuuza siku nyingi.
Kwa hiyo, washangilie kila kitu kama huko kwenu.Kitendo cha katiba ya CHADEMA kupiga marufuku kiongozi wa chama kukosolewa hadharani kimefanya chama kijae wanafiki tupu wasiohoji lolote bali kukenua tu.
Wakitoka ndiyo wanaongea,refer Babu Duni.
Kawaulize.Tatizo siyo kuachwa wafanye mambo yao wenyewe , tatizo ni ugumu wa majibu ya hya maswali yalioulizwa:
Sumaye anajisikiaje?
Katiba ya Chadema inasemaje?
Kwanini Mwenyekiti anampokea Mjumbe wa Kamati Kuu?
Wazee wa busara kama Prof. Baregu, Mabere Marando wanajisikiaje?
Jamani pesa imekuwa msemaji mkuu wa CHADEMA.No no no, why why why...Professa?-Godbless Lema
Anza kwa mkullu wenu ambae tayari anavunja katiba, halafu ndio uende kwa unaowaoteaHoja hapa ya kujadili ipo...katiba ya Chadema kwanini ivunjwe???watawezaje kuilinda katiba ya nchi?
Tupia utafiti ulioufanya.CHADEMA wanafikiri wananchi wanaweza kuwaamini kwa kila jambo tena, Watanzania wameshwapuuza siku nyingi.
Peleka ushahidi polisi ili ashitakiweKanunua chama huyo. Lazima akina Mbowe wamsujudie