Lowassa abadili protokali ya CHADEMA mikutanoni

Lowassa abadili protokali ya CHADEMA mikutanoni

14716130_198722587228233_8947524142698280434_n.jpg


Hili lazima tulizungumze, Edward Lowassa ni mjumbe wa kamati kuu tena asiye na hata mwaka mmoja katika wadhifa huo lakini katika mikutano ya CHADEMA inashangaza kwani;
  • Huingia wa mwisho na kulakiwa na mwenyekiti, ndugu Mbowe na, Makamu wenyeviti bara na Zanzibar, Katibu Mkuu na Manaibu.
  • Hupanga mambo ya kujadliliwa katika mikutano
  • Ana kura ya veto, kura yake ni ya turufu ni kubwa kuliko wajumbe wa mkutano wowote wa CHADEMA.
  • Anakaa Meza kuu wakati wajumbe wa 'level' yake wanakaa viti vya kawaida.
  • Posho yake ya kikao ni kubwa kuliko ya Mwenyekiti.
Hii ndio tunaita CHADEMA imegeuka kichwa chini miguu juu, watu wakisema kakinunua chama majibu ya hasira na matusi hutolewa, 'leta ushahidi'. kama kuna mwenye katiba ya CHADEMA atutolee ili tuweze kujua majukumu ya mbunge wa kamati kuu. Ikumbukwe Sumaye naye 'alizawadiwa' ujumbe wa kamati kuu kwanini hakai meza kuu?. Kuna maswali machache pia ya kujiuliza;
  • Je thamani ya wajumbe wakongwe CHADEMA kama Prof. Baregu, Mabere Marando ni ndogo kulinganisha na Lowassa?
  • Tundu yuko wapi wakati katiba ya CHADEMA inavunjwa?
Tujadili kwa mapana na si mihemuko kamwe usitukane.
Wakudadavia kapangiwa kazi ya kumchafua lowasa tu.
 
14716130_198722587228233_8947524142698280434_n.jpg


Hili lazima tulizungumze, Edward Lowassa ni mjumbe wa kamati kuu tena asiye na hata mwaka mmoja katika wadhifa huo lakini katika mikutano ya CHADEMA inashangaza kwani;
  • Huingia wa mwisho na kulakiwa na mwenyekiti, ndugu Mbowe na, Makamu wenyeviti bara na Zanzibar, Katibu Mkuu na Manaibu.
  • Hupanga mambo ya kujadliliwa katika mikutano
  • Ana kura ya veto, kura yake ni ya turufu ni kubwa kuliko wajumbe wa mkutano wowote wa CHADEMA.
  • Anakaa Meza kuu wakati wajumbe wa 'level' yake wanakaa viti vya kawaida.
  • Posho yake ya kikao ni kubwa kuliko ya Mwenyekiti.
Hii ndio tunaita CHADEMA imegeuka kichwa chini miguu juu, watu wakisema kakinunua chama majibu ya hasira na matusi hutolewa, 'leta ushahidi'. kama kuna mwenye katiba ya CHADEMA atutolee ili tuweze kujua majukumu ya mbunge wa kamati kuu. Ikumbukwe Sumaye naye 'alizawadiwa' ujumbe wa kamati kuu kwanini hakai meza kuu?. Kuna maswali machache pia ya kujiuliza;
  • Je thamani ya wajumbe wakongwe CHADEMA kama Prof. Baregu, Mabere Marando ni ndogo kulinganisha na Lowassa?
  • Tundu yuko wapi wakati katiba ya CHADEMA inavunjwa?
Tujadili kwa mapana na si mihemuko kamwe usitukane.
Nenda lumumba kaulize kinana na ole sendeka nani boss sasa hivi
 
We unashangaa kukaa meza kuu kuna mwenzako kumsalimia Lowasa akaona muujiza utazani yule kipofu alipomuona YESU

Lowasa si wamchezo mchezo
 
BY M2020: KUIAMINI CHADEMA KWA SASA UNATAKIWA KUWA NA PUA, MDOMO, LIKICHWA KUBWA TUPU NA MASIKIO BASI. HAIHITAJI BUSARA, MAARIFA WALA HEKIMA.

UKIWA NA HEKIMA, MAARIFA NA BUSARA UTAACHANA NAYO MAZIMA.

IMEJAAA UTAPELI NA UPIGAJI DILI HAINA ISSUE YOYOTE NA SIASA HOVYO ZA KITOTO NA UPUUZI.

Kwa a naye taka kutukana MATUSI yote yaende kwa waume zake pemba.
 
WanaJF ya Ngoswe mwachie Ngoswe mwenyewe. CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani na mambo ya ndani ni makuu kwa upinzani wa ndani kwa ndani. Kengeza ni lenu msiokuwamo
 
Ngoja BAK na wenzake waje kupiga deki jf, kumtukuza Laigwanan kwa kukiimarisha chama...smfh!!!
 
Ongea mikakati ya kujenga chama chako cha Lumumba huku Chadema kunakuwasha nini.
Protokali zenu wenye za kuwatumia watumishi wa uma kutangaza chama wananchi wamewastukia.
CCM ilishajengwa kwa Nondo na mawe. Jibuni hoja. Kwanini Lowassa anaingia wa mwisho kwenye kikao na kupokelewa na mwenye kigoda? Kwanini anakaa meza kuu, Sumaye viti vya kawaida?
 
Umbeya na uongo vinakusaidia nini????. hata kama ni dinari unalipwa ili uchafue chadema na viongozi wake kwa sasa inatosha.
 
14716130_198722587228233_8947524142698280434_n.jpg


Hili lazima tulizungumze, Edward Lowassa ni mjumbe wa kamati kuu tena asiye na hata mwaka mmoja katika wadhifa huo lakini katika mikutano ya CHADEMA inashangaza kwani;
  • Huingia wa mwisho na kulakiwa na mwenyekiti, ndugu Mbowe na, Makamu wenyeviti bara na Zanzibar, Katibu Mkuu na Manaibu.
  • Hupanga mambo ya kujadliliwa katika mikutano
  • Ana kura ya veto, kura yake ni ya turufu ni kubwa kuliko wajumbe wa mkutano wowote wa CHADEMA.
  • Anakaa Meza kuu wakati wajumbe wa 'level' yake wanakaa viti vya kawaida.
  • Posho yake ya kikao ni kubwa kuliko ya Mwenyekiti.
Hii ndio tunaita CHADEMA imegeuka kichwa chini miguu juu, watu wakisema kakinunua chama majibu ya hasira na matusi hutolewa, 'leta ushahidi'. kama kuna mwenye katiba ya CHADEMA atutolee ili tuweze kujua majukumu ya mbunge wa kamati kuu. Ikumbukwe Sumaye naye 'alizawadiwa' ujumbe wa kamati kuu kwanini hakai meza kuu?. Kuna maswali machache pia ya kujiuliza;
  • Je thamani ya wajumbe wakongwe CHADEMA kama Prof. Baregu, Mabere Marando ni ndogo kulinganisha na Lowassa?
  • Tundu yuko wapi wakati katiba ya CHADEMA inavunjwa?
Tujadili kwa mapana na si mihemuko kamwe usitukane.
kuna hoja ya kujibu hapa.
 
Una ushahidi dogo au na wewe ndio mmojawapo wa watu mnaosumbuliwa na SHIBE YA UJINGA?
 
Back
Top Bottom