Lowassa abadili protokali ya CHADEMA mikutanoni

Lowassa abadili protokali ya CHADEMA mikutanoni

mi ccm jamani, yaani mnakera kuliko sumu ya mbu. Hamjadili vitu vya maana ka zinaenda wapi pesa za wahanga wa tetemeko kagera leo wiki ya 8 wanadamu wanalala nje tena kwenye mvua ya masika mnajadili vyama na protokali zake. Kweli kuna watu mawazo mgando saana Tz.
Haya, kanunua chama, sasa mbona mnaanza kuulizia pesa za ruzuku ya CDM? Mmeona hilo haligusi mtu mnafuatilia protokali. Nawajibu hivi; Mwenye fweza CDM ndo muungwana. Kama alitoa 10 bill kukiinua chama si mtu wa kuheshimiwa huyo?? Mtalia saana
 
Tatizo siyo kuachwa wafanye mambo yao wenyewe , tatizo ni ugumu wa majibu ya hya maswali yalioulizwa:
Sumaye anajisikiaje?
Katiba ya Chadema inasemaje?
Kwanini Mwenyekiti anampokea Mjumbe wa Kamati Kuu?
Wazee wa busara kama Prof. Baregu, Mabere Marando wanajisikiaje?

Jamani pesa imekuwa msemaji mkuu wa CHADEMA.No no no, why why why...Professa?-Godbless Lema
Kama hawa ni wazee, maprofessor, wanasheria na wengine walishakuwa seniors serikalini, watakuwa wana uhakika na wanachokifanya kwenye hili

Nadhani upeo wako wa chini yao ndio unakupa shida kuelewa protocol yao hii!
 
Sioni hoja hapa maana kinachosemwa kingewekewa ushahidi tungeona hoja ina mashiko,mtoa hoja tuwekee ushahidi wa kile unachokisema tuweke kumbukumbu sawa
Ushahidi autoe wapi huyu, wewe mjibu kichochezi tu huyu kama alivyokuja kuchochea.
 
De facto owner of the party.
Hata Mzee Mwinyi na Mkapa wakiingia mkutano wa chama wanakaa meza kuu, wao ni akina nani kama sio wajumbe tu? Mheshimiwa Jakaya sijamtaja kozi alishatangaza hataki kuhusishwa na mambo ya chama wa hiyo serikali yenu.
 
Chukua hiyo kama training need ukawafundishe viongozi wa CDM protokali...
Acha kulalamika lalamika kama yule jamaa anayehitaji maombi..!
 
Kuhusu Lowasa, siyo Chadema tu yule mzee ana kipawa cha kipekee. Matukio mengi anapofika Lowasa lazima utahua kuna mtu mzito kafika japo hana dola. Mifano ni Jubilee ya ndoa ya Mzee Mkapa au hata kwenye msiba wa Meya Mstaafu(Dr DIDAS-RIP), hiyo ni nyota ya mtu, iko hivyo na itabaki hivyo.

Kipawa cha Pekee kilianza July 26, 2015 ? Enzi zile kina Lema wanasema kumzomea ni heshma kwa Mungu kipawa hicho alikuwa nacho Nani ?
 
Lowasaa anakuwashae
Lumumba wakisikia jina Lowasa mashuzi kibao utadhani wamekula kunde, jina linawatisha sana, mkulu kwenye hafla ya che nkapa kusheherekea miaka kadhaa ya ndoa yake alipomuona Kiongozi Lowasa alipagawa kiasi kwamba katika hotuba yake story ya kwanza ikawa ni kumwagia misifa na saruti kibao kwake, Jamani acheni unafiki aliyepewa kapewa we utafurukuta utaponda lakini huwezi mshusha mahali alipo.
 
WanaJF ya Ngoswe mwachie Ngoswe mwenyewe. CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani na mambo ya ndani ni makuu kwa upinzani wa ndani kwa ndani. Kengeza ni lenu msiokuwamo

Nyinyi mbona mambo ya CCM, CUF na ACT huwa mnayajadili sana?
 
n
14716130_198722587228233_8947524142698280434_n.jpg


Hili lazima tulizungumze, Edward Lowassa ni mjumbe wa kamati kuu tena asiye na hata mwaka mmoja katika wadhifa huo lakini katika mikutano ya CHADEMA inashangaza kwani;
  • Huingia wa mwisho na kulakiwa na mwenyekiti, ndugu Mbowe na, Makamu wenyeviti bara na Zanzibar, Katibu Mkuu na Manaibu.
  • Hupanga mambo ya kujadliliwa katika mikutano
  • Ana kura ya veto, kura yake ni ya turufu ni kubwa kuliko wajumbe wa mkutano wowote wa CHADEMA.
  • Anakaa Meza kuu wakati wajumbe wa 'level' yake wanakaa viti vya kawaida.
  • Posho yake ya kikao ni kubwa kuliko ya Mwenyekiti.
Hii ndio tunaita CHADEMA imegeuka kichwa chini miguu juu, watu wakisema kakinunua chama majibu ya hasira na matusi hutolewa, 'leta ushahidi'. kama kuna mwenye katiba ya CHADEMA atutolee ili tuweze kujua majukumu ya mbunge wa kamati kuu. Ikumbukwe Sumaye naye 'alizawadiwa' ujumbe wa kamati kuu kwanini hakai meza kuu?. Kuna maswali machache pia ya kujiuliza;
  • Je thamani ya wajumbe wakongwe CHADEMA kama Prof. Baregu, Mabere Marando ni ndogo kulinganisha na Lowassa?
  • Tundu yuko wapi wakati katiba ya CHADEMA inavunjwa?
Tujadili kwa mapana na si mihemuko kamwe usitukane.
ngojeni mpigwe bao kumbe mambo ya ovyo mmeanza wenyewe.
14716130_198722587228233_8947524142698280434_n.jpg


Hili lazima tulizungumze, Edward Lowassa ni mjumbe wa kamati kuu tena asiye na hata mwaka mmoja katika wadhifa huo lakini katika mikutano ya CHADEMA inashangaza kwani;
  • Huingia wa mwisho na kulakiwa na mwenyekiti, ndugu Mbowe na, Makamu wenyeviti bara na Zanzibar, Katibu Mkuu na Manaibu.
  • Hupanga mambo ya kujadliliwa katika mikutano
  • Ana kura ya veto, kura yake ni ya turufu ni kubwa kuliko wajumbe wa mkutano wowote wa CHADEMA.
  • Anakaa Meza kuu wakati wajumbe wa 'level' yake wanakaa viti vya kawaida.
  • Posho yake ya kikao ni kubwa kuliko ya Mwenyekiti.
Hii ndio tunaita CHADEMA imegeuka kichwa chini miguu juu, watu wakisema kakinunua chama majibu ya hasira na matusi hutolewa, 'leta ushahidi'. kama kuna mwenye katiba ya CHADEMA atutolee ili tuweze kujua majukumu ya mbunge wa kamati kuu. Ikumbukwe Sumaye naye 'alizawadiwa' ujumbe wa kamati kuu kwanini hakai meza kuu?. Kuna maswali machache pia ya kujiuliza;
  • Je thamani ya wajumbe wakongwe CHADEMA kama Prof. Baregu, Mabere Marando ni ndogo kulinganisha na Lowassa?
  • Tundu yuko wapi wakati katiba ya CHADEMA inavunjwa?
Tujadili kwa mapana na si mihemuko kamwe usitukane.
 
CCM ilishajengwa kwa Nondo na mawe. Jibuni hoja. Kwanini Lowassa anaingia wa mwisho kwenye kikao na kupokelewa na mwenye kigoda? Kwanini anakaa meza kuu, Sumaye viti vya kawaida?
Hata waingie Google hilo hawato lipata Mkuu zaidi ya matusi tuu
 
Wakati unaandika hayo hujataka kufikiria idadi ya kura za uraisi alizopata...zilipishana kwa kiwango gani na za ngosha!?impact yake kwa wabungu wa ukawa na ruzuku kwa vyama vya ukawa!?...je hufikiriii kuwa anastahili heshima kwa mafanikio yote hayo aliyosababisha kwa cdm na ukawa!?
Fikiria vzr kabla ya kuandika.
Upo Nje ya hoja Mkuu......

Maelezo ya nini wakati mtoa mada anahitaji majibu...
 
14716130_198722587228233_8947524142698280434_n.jpg


Hili lazima tulizungumze, Edward Lowassa ni mjumbe wa kamati kuu tena asiye na hata mwaka mmoja katika wadhifa huo lakini katika mikutano ya CHADEMA inashangaza kwani;
  • Huingia wa mwisho na kulakiwa na mwenyekiti, ndugu Mbowe na, Makamu wenyeviti bara na Zanzibar, Katibu Mkuu na Manaibu.
  • Hupanga mambo ya kujadliliwa katika mikutano
  • Ana kura ya veto, kura yake ni ya turufu ni kubwa kuliko wajumbe wa mkutano wowote wa CHADEMA.
  • Anakaa Meza kuu wakati wajumbe wa 'level' yake wanakaa viti vya kawaida.
  • Posho yake ya kikao ni kubwa kuliko ya Mwenyekiti.
Hii ndio tunaita CHADEMA imegeuka kichwa chini miguu juu, watu wakisema kakinunua chama majibu ya hasira na matusi hutolewa, 'leta ushahidi'. kama kuna mwenye katiba ya CHADEMA atutolee ili tuweze kujua majukumu ya mbunge wa kamati kuu. Ikumbukwe Sumaye naye 'alizawadiwa' ujumbe wa kamati kuu kwanini hakai meza kuu?. Kuna maswali machache pia ya kujiuliza;
  • Je thamani ya wajumbe wakongwe CHADEMA kama Prof. Baregu, Mabere Marando ni ndogo kulinganisha na Lowassa?
  • Tundu yuko wapi wakati katiba ya CHADEMA inavunjwa?
Tujadili kwa mapana na si mihemuko kamwe usitukane.
Kama Si upashkuna,wewe unachama chako kinachofuata katiba yake .Kwa Jirani Kuna kuhusu nini?
 
14716130_198722587228233_8947524142698280434_n.jpg


Hili lazima tulizungumze, Edward Lowassa ni mjumbe wa kamati kuu tena asiye na hata mwaka mmoja katika wadhifa huo lakini katika mikutano ya CHADEMA inashangaza kwani;
  • Huingia wa mwisho na kulakiwa na mwenyekiti, ndugu Mbowe na, Makamu wenyeviti bara na Zanzibar, Katibu Mkuu na Manaibu.
  • Hupanga mambo ya kujadliliwa katika mikutano
  • Ana kura ya veto, kura yake ni ya turufu ni kubwa kuliko wajumbe wa mkutano wowote wa CHADEMA.
  • Anakaa Meza kuu wakati wajumbe wa 'level' yake wanakaa viti vya kawaida.
  • Posho yake ya kikao ni kubwa kuliko ya Mwenyekiti.
Hii ndio tunaita CHADEMA imegeuka kichwa chini miguu juu, watu wakisema kakinunua chama majibu ya hasira na matusi hutolewa, 'leta ushahidi'. kama kuna mwenye katiba ya CHADEMA atutolee ili tuweze kujua majukumu ya mbunge wa kamati kuu. Ikumbukwe Sumaye naye 'alizawadiwa' ujumbe wa kamati kuu kwanini hakai meza kuu?. Kuna maswali machache pia ya kujiuliza;
  • Je thamani ya wajumbe wakongwe CHADEMA kama Prof. Baregu, Mabere Marando ni ndogo kulinganisha na Lowassa?
  • Tundu yuko wapi wakati katiba ya CHADEMA inavunjwa?
Tujadili kwa mapana na si mihemuko kamwe usitukane.

Tunataka kwanza mwenyekiti wa ccm ahakiki PhD yake ndo tuanze kujadili hoja nyepesi kama hii
 
Back
Top Bottom