mi ccm jamani, yaani mnakera kuliko sumu ya mbu. Hamjadili vitu vya maana ka zinaenda wapi pesa za wahanga wa tetemeko kagera leo wiki ya 8 wanadamu wanalala nje tena kwenye mvua ya masika mnajadili vyama na protokali zake. Kweli kuna watu mawazo mgando saana Tz.
Haya, kanunua chama, sasa mbona mnaanza kuulizia pesa za ruzuku ya CDM? Mmeona hilo haligusi mtu mnafuatilia protokali. Nawajibu hivi; Mwenye fweza CDM ndo muungwana. Kama alitoa 10 bill kukiinua chama si mtu wa kuheshimiwa huyo?? Mtalia saana
Haya, kanunua chama, sasa mbona mnaanza kuulizia pesa za ruzuku ya CDM? Mmeona hilo haligusi mtu mnafuatilia protokali. Nawajibu hivi; Mwenye fweza CDM ndo muungwana. Kama alitoa 10 bill kukiinua chama si mtu wa kuheshimiwa huyo?? Mtalia saana