Lowasa anautaka u Rais kwa nguvu zote

Lowasa anautaka u Rais kwa nguvu zote

engmtolera

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
5,149
Reaction score
1,441
Wadau,

Angalieni kwa makini sana mwenendo anaokwenda nao waziri aliyeng'atuka Mh E.Lowasas, na wasiwasi kuwa anaweza kabidhiwa nchi hii na wananchi kama ilivyotokea Kenya kwa Rais Uhuru Kenyata.

Mnadharau mbinu yake ya kuzunguka huku na kule lakini mwisho wa siku wananchi hawa wanaweza washangaza sana. Maana kama mnadhani hakubaliki mbona kila nikiangalia tv namwona ktk kila sherehe, iwe ya akina mama, akina baba, vijana, watoto, misiba, ndoa.

Nakumbuka Rais Uhuru Kenyatta nae swala la ardhi lilikuwa ni tatizo kwake,lakini mwisho wa siku aliwezaibuka mshindi.
Kwa mnaoutaka urais msibeze ya Mh E.Lowasa, wananchi wanaweza washangaza.

Mimi sitapiga kura nitakuwa nayaangalia matokeo ktk mtandao huu wa JF
 
Ingia kwenye timu ya kuelimisha watanzania kupenda nchi na elimu ya uraia isiyochakachuliwa kwa vitendo. Muelimishe jirani yako, ndugu yako na tuelimishane ili wote wajue kuwa EL ni fisadi na hela anazogawa kwenye makanisa na misikiti ni mali ya UMMA wa watanzania na hivyo waangalie wasikaangwe na mafuta yao wenyewe
 
Mh jacob zuma kabla ya kuingia ikulu alikuwa na kesi 13 na zingine za kubaka!!na bado akawa raisi
 
watanzania ndiyo wanajua nani anafaa kuwa rais wao mwingine utabaki ushabiki tu.
 
kiasi flani namkubali, tangu ang'oke madarakani kikwete hajafanya lolote la kujisifia na kuacha legacy kwa wengi, katiba mpya ni shinikizo la wapinzani na aliingia mkenge akijua dawa ya kuwamaliza wapinzani na kuua kiu ya mashabiki wa upinzani ni kuwapatia katiba mpya! ila sasa naona imekula kwa ccm!
 
MBINU LOWASA ALIZOTUMIA KUMUINGZA JK IKULU AMBAYE AMEPROVE kufeli ndzo alizoziongezea makali hakuna wa kumzuia Lowasa kuwa Rais! CCM SI baba yako wala mama yako Lowasa muige Ruto aliyesaltiwa na Odnga akaamua kutumia mbinu zake kumuweka Uhuru Kenyata Ikulu, JK amekufanyia MBEKI Aliyomfanyia ZUMA Kwa kumbambkzia kesi ila Waafrka kusn wakampeleka Zuma Ikulu!we love u Lowasa.. LOWASA ATOSHA 2015
 
Watanzania wengi upeo mdogo! hawajiulizi hata hela anazotumia Loasa zinatoka wapi? Wenyewe ni kushabikia tu! Unahogwa unakubaliiiiiii? Hivi kwanini tusimuulize Loasa hizo pesa anatoa wapi? Na kama ni marafiki zake wanampa....Wanazitoa wapi??? Na je si Mafisai kwei hao wanaompaka, je hawahusiki na pesa zetu za EPA? Je kazi wanazozifanya au biashara ni halali? Je hawajahusika katika mikataba mbalimbali ya kifedhuli iliyofikisha nchi hapa ilipo? Kwa nini watanzania tunashindwa kuhoji mambo kama haya? Tuweni makini wadugu!!! Nyerere alishaonya wanaokimbilia ikulu kwa nguvu!
 
Jamaa hajakosea sanaa, kama hizo pesa za watz ndiyo maana anawagawia. Tatizo liko wap jamani.. Jamaa nitampa kura yangu akigombea, ufisadi alisingiziwa kuepusha maafa makubwa hapa tz.
 
Huyu mtu haoni aibu kabisa dhamira yake ya kuwa mgombea wa uraisi (CCM)

Kwa sisi old school,tunakumbuka 1995 Nyerere hakumkopesha huyu jamaa na kumwambia "Ni tajiri kuliko umri wake".

La Nyerere watu wangeweza kumsamehe.

Come RICHMOND scandal ,that was bad and bad .Lakini kuna watu na akili zao wanampushi huyu fisadi.

Gob bless Tanganyika,uepushe hawa mafisadi papa
 
Ukiona mtu anatwanga maji kwenye kinu, endelea na shughuli zako mpaka 2015 utakuwa mzima na kushuhudia raia wakiamua kusema Tanzania bila kuongozwa na mafisadi inawezekana!
 
Mi naona huyu jamaa asipo upata huu urais anaweza kufa kwa kihoro, hivyo kile kipindi walicho taka kumuongezea JK cha miaka miwili(2015-17), wampe huyu bwana ilimradi atoe usongo, baada ya hapo chi ichukuliwe na wazalendo ili tufaidi matunda ya tanganyika yetu
 
PHP:
  • https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/469103-insanity-ya-lowassa.html#nyie walewale midimu wang'oa kucha vijana wa membe mdimu mzee wa maadui waandshi..lowasa kawashka pabaya who z nyerere kwani nyerere ni mungu kumkataa lowasa na jk ni maoni yake si ya watanzania mbona nyerere huyohuyo alkuwa anatofautiana na sokoine kutokana na msimamo na utendaji kaz mzuri wa sokoine baada ya kuona anamzd nguvu sokoine akijiuzulu nyerere anamuomba arudi..mbona mzee mtei muasisi wa chadema waltofautiana na nyerere kutokana na umungu mtu wake na mtei akajiuzulu toa maoni yako usiseme nyerere...lowasa ni jembe na ni mtendaji kazi strong aliyebak ndani ya ccm tutampgia kampeni,kura,na kumuunga mkono kwa kila hali midimu nyie
 
Membe anaota na Fisadi Lowasa anaota tena mchana kweupe! hawa magamba wanapepo wanahitaji kuombewa.
Huyu mtu haoni aibu kabisa dhamira yake ya kuwa mgombea wa uraisi (CCM)

Kwa sisi old school,tunakumbuka 1995 Nyerere hakumkopesha huyu jamaa na kumwambia "Ni tajiri kuliko umri wake".

La Nyerere watu wangeweza kumsamehe.

Come RICHMOND scandal ,that was bad and bad .Lakini kuna watu na akili zao wanampushi huyu fisadi.

Gob bless Tanganyika,uepushe hawa mafisadi papa
 
Huyu mtu haoni aibu kabisa dhamira yake ya kuwa mgombea wa uraisi (CCM)

Kwa sisi old school,tunakumbuka 1995 Nyerere hakumkopesha huyu jamaa na kumwambia "Ni tajiri kuliko umri wake".

La Nyerere watu wangeweza kumsamehe.

Come RICHMOND scandal ,that was bad and bad .Lakini kuna watu na akili zao wanampushi huyu fisadi.

Gob bless Tanganyika,uepushe hawa mafisadi papa
nyie walewale midimu wang'oa kucha vijana wa membe mdimu mzee wa maadui waandshi..lowasa kawashka pabaya who z nyerere kwani nyerere ni mungu kumkataa lowasa na jk ni maoni yake si ya watanzania mbona nyerere huyohuyo alkuwa anatofautiana na sokoine kutokana na msimamo na utendaji kaz mzuri wa sokoine baada ya kuona anamzd nguvu sokoine akijiuzulu nyerere anamuomba arudi..mbona mzee mtei muasisi wa chadema waltofautiana na nyerere kutokana na umungu mtu wake na mtei akajiuzulu toa maoni yako usiseme nyerere...lowasa ni jembe na ni mtendaji kazi strong aliyebak ndani ya ccm tutampgia kampeni,kura,na kumuunga mkono kwa kila hali midimu nyie...rchmond altaka kuvunja mkataba wake JK akamwambia asivunje kwa sababu bnafs za JK jpya lipo wap hapo.....LOWASA ALJIUZULU KUTOKANA NA KINYONGO CHA SPKA SITA ALIYEKUWA AMEAIDIWA UWAZRI MKUU NA JK BAADAYE JK AKAONA LOWASA ANAFAA ZAIDI KULKO SITA BASI ILI LIZEE KWA TAMAA ZAKE LKAANZA BFU NA LOWASA...LOWASA ATAWAKMBIZA SANA...SUBRN INGIIIE VZUR NGUMU KUMESA ILA MESA HVYOHVYO WAZEE WA URAMBO NA MIDIMU
 
Anao uhuru na haki ya kugombea kwa mujibu wa katiba. Nyie magamba si mna vikao vyenu vya chama vya kufanya maamuzi, kama mna ubavu mzuieni huko huko kwa kumnyima kura akichukua form na sio kutafuta huruma humu JF.

Mchague Laigwanan au Joka la Mdimu juu yenu lakini watanzania tumepania kuifanya CCM kuwa na historia baada ya 2015.
 
nyie walewale midimu wang'oa kucha vijana wa membe mdimu mzee wa maadui waandshi..lowasa kawashka pabaya who z nyerere kwani nyerere ni mungu kumkataa lowasa na jk ni maoni yake si ya watanzania mbona nyerere huyohuyo alkuwa anatofautiana na sokoine kutokana na msimamo na utendaji kaz mzuri wa sokoine baada ya kuona anamzd nguvu sokoine akijiuzulu nyerere anamuomba arudi..mbona mzee mtei muasisi wa chadema waltofautiana na nyerere kutokana na umungu mtu wake na mtei akajiuzulu toa maoni yako usiseme nyerere...lowasa ni jembe na ni mtendaji kazi strong aliyebak ndani ya ccm tutampgia kampeni,kura,na kumuunga mkono kwa kila hali midimu nyie...rchmond altaka kuvunja mkataba wake JK akamwambia asivunje kwa sababu bnafs za JK jpya lipo wap hapo.....LOWASA ALJIUZULU KUTOKANA NA KINYONGO CHA SPKA SITA ALIYEKUWA AMEAIDIWA UWAZRI MKUU NA JK BAADAYE JK AKAONA LOWASA ANAFAA ZAIDI KULKO SITA BASI ILI LIZEE KWA TAMAA ZAKE LKAANZA BFU NA LOWASA...LOWASA ATAWAKMBIZA SANA...SUBRN INGIIIE VZUR NGUMU KUMESA ILA MESA HVYOHVYO WAZEE WA URAMBO NA MIDIMU

Kijana rejea point yangu.Hapa sio personality.
Wote uliowataja hawajajihusisha na large scale Corruption.
Tunasema Tanganyika ijayo tuiclean kutoka na watu kama hawa.
 
Mimi nadhani anasaidia kuweka wazi mapeeema juu ya dhamira yake. Mwenzako akinyolewa zako.....maji.na ukiona moshi unafuka ujue kuna ..... GAMBA anafanya hrakati za kutangaza nia indirect kwani nia anayo, nguvu anayo, na hari anayo.
 
PHP:
  • https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/469103-insanity-ya-lowassa.html#nyie walewale midimu wang'oa kucha vijana wa membe mdimu mzee wa maadui waandshi..lowasa kawashka pabaya who z nyerere kwani nyerere ni mungu kumkataa lowasa na jk ni maoni yake si ya watanzania mbona nyerere huyohuyo alkuwa anatofautiana na sokoine kutokana na msimamo na utendaji kaz mzuri wa sokoine baada ya kuona anamzd nguvu sokoine akijiuzulu nyerere anamuomba arudi..mbona mzee mtei muasisi wa chadema waltofautiana na nyerere kutokana na umungu mtu wake na mtei akajiuzulu toa maoni yako usiseme nyerere...lowasa ni jembe na ni mtendaji kazi strong aliyebak ndani ya ccm tutampgia kampeni,kura,na kumuunga mkono kwa kila hali midimu nyie

Sina haja ya kukujibu swali lako la Nyerere kwani alikuwa Mungu? MPUMBAVU TU NDIYE ATAKUJIBU HILO.SASA KWA NINI NYERERE ALISEMA LOWASA HAFAI KUONGOZA?JIBU:KWA SABABU TAJIRI ATAWANUNUA WANYONGE WOTE NCHINI NA KWAMBA ATAKUWA BEURACRATIC AU KWA MANENO MENGINE YEYE ATAKUWA NDIO KILA KITU KATIKA UTAWALA WAKE,NYERERE ALIYASEMA HAYA KAMA MUASISI NA MWANACHAMA WA CCM,ENDAPO WATANZANIA WANGEAMUA KUJARIBU KUMPA TAJIRI NCHI HII WANGETHIBISHA MANENO YA HAYATI JKN KUWA MWENYE HERI.KWANGU MIMI LOWASA ANGEUNGANA NA KUNDI LA ECONOMIC REGULATORS KAMA AKINA MENGI,SABODO,SAS,GULAM NK.SIASA NI KWA AJILI YA KUCHOCHEA KAZI SI KUCHOCHEA UZEMBE KWA KUGAWA PESA ZINAZOCHOCHEA UZEMBE KATIKA JAMII.TUKUMBUKE FALSAFA HII YA MARK TWAIM"ALWAYS DO RIGHT.THIS WILL GRATIFY SOME PEOPLE AND ASTONISH THE REST".FALSAFA HII INAONESHA NAMNA MATENDO YA NYERERE YALIVYO KUWA ambayo msomaji either uwe gratified au astonished.
 
Back
Top Bottom