Loving you Mahondaw

🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀠🀠🀠🀠! Peponi tutaenda mi smart na Rabbitus tu uduguuu wengine na unaa wenyu mtanyongwaa live walaii🀣🀣🀣🀣🀣🀭🀭
Tunaenda wote mpk na waasi tukamalizie tulipoishia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Alaf wapinzan wao walikua pungufu kipind chote cha pili πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€wakubali tu bahat hakua yao
Yanii huko waliko sipati picha wanavosherehekea dah ushindi wa kishindo sana wakianza naule waliowatoa Senegal nahii ya leo kucheza pungufu na kushinda dakika ya mwisho kabisa!
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana... Mambo yao waachie wenyewe...
 
I own PhD from Cuba. ✌️
MambΓΆ yangu huishia public. Uliniudhi siku ile kunitukana. Kati ya wote walioluwa kwenye ile list ni wewe tu ulinitukana japo nilichokisema ulikielewa. Case closed.
You've turned the tables huh!!!
Siku nyingine ukipewa info, huko Cuba na vyeti vyako usiviweke uvunguni, tumia masaburi vizuri kuchanganua kama akili zimechoka.
Collect your data well before you start attacking me, sawa mzee?
Lakini pia, jifunze kwanza saikolojia ya anayekupa info, is he/she okay? Usikurupuke, binafsi sikujui na sihitaji kukujua as tayari nishafamu uwezo wako ni mdogo(kuchanganua issues) ila kama una jambo karibu pm.
 
Aiseee kwa hiyo kuamua kukupotezea kwako ushindi sio?.
Wewe ndie ulipaswa kujiuliza saikolojia ya huyo mtu uliemtaka iko sawa? We si ulijifanya Mshauri kumbe unasuburi december uvunje ukimya.

Wenye akili walinyamaza toka siku ile.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…