Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Mwenye Kisu kikali 🤠🤠🤠🤠!

Mi mbona ntakosa nyama kabisa sasa lol!
Unachart sana weh watakuibia saivo unatakiwa kulipika jina la shemeji yetu upo huku ujiaminisha acha hizo nenda kajiandae uvae shanga unukie bibie uanze kumpikia madiko diko au wewe sio mtanga ?? Nimeishi Tanga ukirudiana na bwana au bwana ni zamu yako unakuwa asilimia 90 uko unamkatia kiuno hatari unajiandaa bibie kwa mauno eh na mengine
 
Allah atujalie wanawake tuwe na uwezo wa kujitambua.

Mwanaume ukiachana nae na ukamchafua huwa anapanga kisasi. Atafanya chochote mrudiane ili wewe uliyetumika kumchafua utumike pia kumsafisha. Kama usipokuwa na akili utaona kilichomrudisha kwako ni mapenzi kumbe karudi kujishafisha dhidi ya uzushi ulizomzushia kipindi alikuacha.

Hamna mapenzi hapo, penzi likifa limekufa utalazimisha liendelee kuishi ila mambo hayawezi kuwa sawa kama ilivyokuwa awali. Huyu akimaliza kujisafisha juu ya kusambaza STDs kwa baadhi ya ladies humu ataondoka ikukuacha ukiwa hauna njia nyingine tena ya kumchafua.

Amefanikiwa kukufanya umeze matapishi yako.

Halafu hamna upendo kwenye kutukanana. Mwanaume akikutukana ni udhalilishaji na ni kwa sababu amekudharau. Na akirudi kukuambia anakupenda ni kwa sababu anataka aone kama una akili au bado ni mjinga. Usiruhusu dharau kwa kigezo kwamba ndio mapenzi yenyewe. Mtu anayekupenda akakulinda na kukuheshimu.
Sheillah!!!!! Ole mwane palangwiiiii
Ooh!! ozoliiii ozoliiii osise 😂😂😂😂
Punguza kuongea ukweli tutakufukuza kwenye uzi wetu
 
Unachart sana weh watakuibia saivo unatakiwa kulipika jina la shemeji yetu upo huku ujiaminisha acha hizo nenda kajiandae uvae shanga unukie bibie uanze kumpikia madiko diko au wewe sio mtanga ?? Nimeishi Tanga ukirudiana na bwana au bwana ni zamu yako unakuwa asilimia 90 uko unamkatia kiuno hatari unajiandaa bibie kwa mauno eh na mengine
Weweeeeee kungwi tumepata Lamomy Ms eyes Joannah
 
hayo mambo mnayaweza nyie vijana tumewaachia wazee 🤣🤣tumestaafu
unapenda kuona mioyo ya wenzio ikiruka ruka eeee kwa wivu hhahahaha unagubu😅
Umenifanya nikague ID's pamoja nakujiangalia kwenye kioo,kumbe mimi bado kijana kabisa kabisa,mwenye nguvu za kumwaga.

Kwahiyo,ulivyosema nichangamke hapa JF nawe unataka kuona ndugu yako nikipata stroke?,kukonda,pressure na wenda wazimu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom