Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Shida yako tu,unataka niwatukane matusi JF ladies waliopo kwa kukufananisha nawe.

Unanipatia dhambi wazi wazi,kwanza una kesi yako "ya mimi kupewa vitisho na vijana wa JF"
Hapana wamekuiba tayari😕.

Hao wanaokupa vitisho waambie washindwe na walegee. Kwanza hata siwajui😰
 
Hapana wamekuiba tayari😕.

Hao wanaokupa vitisho waambie washindwe na walegee. Kwanza hata siwajui😰
Wataniiba vipi na hawanijui,wewe wanakujua huko,tena vizuri tu.

Sio utani(inabidi unieleze hili jambo,kwanini napata maswali yako private?una agenda gani na hawa watu?)
Nitakutafuna hayo macho,na vile siwezi kufaidisha watu tu hapa kwa malalamiko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom