Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,212
- 86,846
Umwambie shem na ww akuweke wazi asikufiche km bhangi sasa 😂😂😂Ameen 🤣🤣🤣🤣
Umwambie shem na ww akuweke wazi asikufiche km bhangi sasa 😂😂😂Ameen 🤣🤣🤣🤣
National Anthem yukwapi
Aone hii post. Aingie uvunguni apige ukunga.




jamani nawee uwaite wake wenzio, muone bi mkubwa wenu akiwachachafyaaaaa, na anawarushaaa roho balaaa.



Unamkataa tena jamani 🤣Halafu wala si kweli tunazinguana tu jukwaani mimi sisubutu kutoka na mtu humu,Wanao weza kama hao wana anzishiwa uzi wa kusifiwa 😁😁😁
Ameshaoa mwaka jana ila kisiri sana hajakuaga



jamani mbona JF kuna manjegeka hiviii, khaaaahNdaga baby🤝🤝💃😍Ma mchungaji mi nampendaga mpole shoga angu, yy kucheka tyuu km mimi 😂😂😂
Hata ikiwa kweli shida iko wapi?? Utamfanya shem ajitupe ajue hauko serious naye 😂😂😂Halafu wala si kweli tunazinguana tu jukwaani mimi sisubutu kutoka na mtu humu,Wanao weza kama hao wana anzishiwa uzi wa kusifiwa 😁😁😁





Ila jmn🤣🤣jamani mbona JF kuna manjegeka hiviii, khaaaah
Simkatai 😁😁Unamkataa tena jamani 🤣
Samahani dada Maua, ila kuanzia leo WiFi yako ni Nuzulati 💓💓Niombe msamaha walahi sikusamehi mpaka ueleze vizuri imekuwaje umenishushia heshima ukanita msenge kama ulikuwa hutaki ungenitania tu ukaniambia kitu kingine sio tusi kubwa hivyoo . Nakuniambia tu huyo mtu sipo naye kanichefua basi simtag tena mie nafanya tu utani
Ila coca🤣🤣🤣Bi mdogooo huna bayaaa,![]()
Uvumilivu Hana huyu atatoboa kwenye ndoa huyuEee mara hii kakimbia?? 🤣🤣🤣
Mmmh we nae huna loloteeunampenda tu huyo bwana ako kizembezembe





jamaniiiiiiMi siongeagi mengi Wizzy mwenyewe anamaliza kila kitu
Nitakusimulia kesho, ss hivi anakunywa ciroc akinishika nyonyo ujue siri zako ziko matatani![]()





Muda wa kuomba mtumishi sa sita na nusu😅Hebu tulia unakimbilia wapi?