Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Oya acha mazoea ya kichoko Basi, mbona Mna penda Kiki za kingese Sana.
👉Mbona mna force mambo aisee, lini Nisha kutana nae???.

Sitaki mazoea ya ki mbwa, nitakuja ongea kitu muumie bogus kabisa.
Kila Saa Mimi, kwani Hakuna jf member wengine mpaka daily mimi tu?????

Sitakiiiiiii, na sihitajiiii ujinga wako, jf mi shabiki wa Nuzulati, Sasa Huyo ndugu yako was kazi gani!!!
Duh ,sawa🤪
Ila uwe unapunguza ukali wa maneno ht km umeudhiwa ndugu!
 
Nafukua makaratashi ya vibuti Intelligent businessman ulitoa post kwa Lovelovie kipenzi changu akakutema kisa una umbo kama la mangi 🤣🤣🤣🤣 kipara peh kama cha pimbi, unavaa vishati vya ajabu ajabu unatisha unahema hema na kuongea haraka na kuvaa miwani kama enzi za ko za milembe umetoka tu ukatangaza nia ndio maana ukakataliwa mwenzio aliogopa kama hujapona vizuri.
Da maua kalale ushalewa inatosha 😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom