Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,564
Najikaza kidogo si unajua mwanaume hadeki๐๐๐๐๐ Mgonjwa umepona??
Najikaza kidogo si unajua mwanaume hadeki๐๐๐๐๐ Mgonjwa umepona??
Dada zangu wa wapi tena๐Dada zako wameporwa mume ww unachekelea?? ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mawifi nawapambania ila bro wenu anazingua hayupo upande wenu kabisaa
Mhmm!! Mwanaume unadeka ww sijapata kuona.!! ๐คฃ๐คฃ๐คฃNajikaza kidogo si unajua mwanaume hadeki๐
Kaskazini, ina maana ww hujui km smart alikuwa shemeji yako?? ๐๐๐Dada zangu wa wapi tena๐
๐๐๐๐ wii mapembeloUnanifurahishaga tu wifiyangu ๐๐๐hauna shughuli ndogo
Uongo, hapa kazi tu๐Mhmm!! Mwanaume unadeka ww sijapata kuona.!! ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Umenishinda hadi mi last born
Samalekooo ๐๏ธ!Uongo, hapa kazi tu๐
Dada niliyenae kaskazini ni Carleen, Sasa useme ni yupi na yupi hao wengine maana huenda sijajuaKaskazini, ina maana ww hujui km smart alikuwa shemeji yako?? ๐๐๐
Sema mawifi msijali lazima nifanye mambo uduguu awarudishie bebi wenu ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Aamin aamin!
๐ค ๐ค ๐ค ๐ค ! Acha adeke wako wachache na wanagombaniwa ujue ๐!Mhmm!! Mwanaume unadeka ww sijapata kuona.!! ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Umenishinda hadi mi last born
Nipo mambo mengi tu mtu wanguSamalekooo ๐๏ธ!
Lamomy amejua kukuficha doh! Nafurahi kukuona tena rafiki
"Hahahaha"Ukiulizwa unachofanya utajibuje
Tuhamie upi sasa udugu?Ipo siku
Halafu uzi ushanichosha huu, tuhamie mwingine.



Kuna mtu aliniuliza hivi mpaji Mungu mnafahamiana uko kkoo.??
Inaonekana ana pesa, kuna sehemu nimeona kachangia pesa nyingi.!!
Nikasema mamaah.!! Winga kafikiwa kupewa kipochi
Kwani wapi ulichangia pesa nyingi kaka??
Dadaako nadaiwa pesa na mchina hutaki kuniongezea..!!![]()




Uongo ๐๐๐Uongo, hapa kazi tu๐
Kuwa bize inapendeza sana mara moja moja kama hivi unaibuka kutusabahi jf. Nimeipenda hiiNipo mambo mengi tu mtu wangu
Mmeo anakazi sana, hivyo anapendezwa na umbea wako kweli?๐๐๐๐๐๐ Mgonjwa umepona??
๐๐๐๐ Waasi wako wengi tatizo muda wowote wanaweza kunipinduaSamalekooo ๐๏ธ!
Lamomy amejua kukuficha doh! Nafurahi kukuona tena rafiki