Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Nilichoelewa na wengi mmeshindwa kumuelewa antonnia ni je kufanya hivi kosa lipo wapi?

Wakiamua kuachana wameamua wao, wakiamua kurudiana wameamua wao sisi hatupaswi kuhoji sana wala kufatilia sana, ni wao wameamua. Kwa kifupi ni maamuzi yao ambayo sisi hayatuhusu kabisa. Ndio maana anasema mambo yao tuwaachie wenyewe
 
Nilichoelewa na wengi mmeshindwa kumuelewa antonnia ni je kufanya hivi kosa lipo wapi?

Wakiamua kuachana wameamua wao, wakiamua kurudiana wameamua wao sisi hatupaswi kuhoji sana wala kufatilia sana, ni wao wameamua. Kwa kifupi ni maamuzi yao ambayo sisi hayatuhusu kabisa. Ndio maana anasema mambo yao tuwaachie wenyewe
Ni vile wanadamu tunawashwa tu kuongea.
Kiuhalisia sisi haituhusu ni maamuzi yao kurudiana na kuachana.

Tunajua kujipa kazi zisizotuhusu.
 
Nilichoelewa na wengi mmeshindwa kumuelewa antonnia ni je kufanya hivi kosa lipo wapi?

Wakiamua kuachana wameamua wao, wakiamua kurudiana wameamua wao sisi hatupaswi kuhoji sana wala kufatilia sana, ni wao wameamua. Kwa kifupi ni maamuzi yao ambayo sisi hayatuhusu kabisa. Ndio maana anasema mambo yao tuwaachie wenyewe
Dada zako wameporwa mume ww unachekelea?? ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Mawifi nawapambania ila bro wenu anazingua hayupo upande wenu kabisaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom