Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,937
😂😂😂 Nikukutanishe naye??Hamna Mtu ananijua humu na jukwaani hamna sehemu openly tumefanya harambee, 😂😂😂Mkuda ww hutaki kunifungulia piemu ungeniambia ningekuachia hata Hela kidogo...
Jf ni msitu kuna kila aina ya wanyama kaka.!!
Mi mwenyewe nimeshangaa kajuaje ulitoa pesa uko..??
Nikakumbuka kumbe ndani ya jf unaweza kuwa Mwajuma na Hadija kwa wakati mmoja..!! 😂😂😂😂