Ndiyo najua km amezaa nae,nnachosema hapa sugu hastahili lawama hata kidogo! Huyu kwa vyovyote vile anajitoa ufahamu baada ya kutemwa. Isingewezekana Sugu ajue yote haya halafu aendelee nae,lazima alificha tabia zake ambazo hivi sasa anazianika! Huenda sugu aligundua mwenyewe tabia chafu za huyu kahaba ndo maana akamtema..! Wanawake wengi wanaficha mambo mengi sana,wapo makahaba wenye waume wasio na idadi lkn waume zao hawajui na kwa hili hata me na wewe tunaweza kuwa wahanga!!Umeshasahau! Kuwa SUGU alizaa naye mtoto?
Ndiyo najua km amezaa nae,nnachosema hapa sugu hastahili lawama hata kidogo! Huyu kwa vyovyote vile anajitoa ufahamu baada ya kutemwa. Isingewezekana Sugu ajue yote haya halafu aendelee nae,lazima alificha tabia zake ambazo hivi sasa anazianika! Huenda sugu aligundua mwenyewe tabia chafu za huyu kahaba ndo maana akamtema..! Wanawake wengi wanaficha mambo mengi sana,wapo makahaba wenye waume wasio na idadi lkn waume zao hawajui na kwa hili hata me na wewe tunaweza kuwa wahanga!!
Hivi unaweza kuvuta Bangi na mwanamke wa kawaida?
Hivi we unaona ni mwanamke wa kawaida huyu? Yawezekana yeye ndo alimfundisha Sugu kuvuta hizo bangi.. mwanamke wa kawaida hawezi kuwa na tabia za ajabu kama huyu binti
Acha ujinga wewe, huu upumbavu ongea na watoto wenzio, Katika kitabu chake SUGU, FROM STREETS TO PARLIAMENT, Mbilinyi amekikiri kuwa yeye ni mtumiaji wa bangi, Pia katika wimbo wake wake uitwao MOTO CHINI, SUGU amenukuliwa akisema kuwa ganja ndio inampa misimamo!
Mkuu hapo lawama kwa sugu inatoka wapi!? Huyu umemjua km ni Malaya baada ya yeye mwenyewe kusema,asingesema wala usingejua. Hata hivyo haya ni maelezo ya upande mmoja,hujasikia maelezo ya sugu lkn unamhukumu..! Hivi unajua matendo ya mkeo!? Siku akiamua kusema hadharani matendo anayofanya nje ya ndoa yenu si utaji-mkwawa wewe!?? Maoni ya wengi hapa yanaonyesha huyu mdada ni punguani ndo maana anaona fahari kujidhalilisha lkn wewe unamshutumu Sugu.!
Siwezi bishana na wewe mana nishatambua ubongo wako hauna tofauti na wa huyo faidha
Acha chuki Binafsi kwa Sugu bwana. Lakini pia huwezi ongea tu vizuri bila kuingiza matusi?
We ni mwehu, unajadili kwa hisia badala ya kwenda kwa data!
Haya sikiliza moto chini hapa!
https://www.youtube.com/watch?v=U6ISmtLCdBE
halafu soma kitabu cha SUGU.
Mkuu hapo lawama kwa sugu inatoka wapi!? Huyu umemjua km ni Malaya baada ya yeye mwenyewe kusema,asingesema wala usingejua. Hata hivyo haya ni maelezo ya upande mmoja,hujasikia maelezo ya sugu lkn unamhukumu..! Hivi unajua matendo ya mkeo!? Siku akiamua kusema hadharani matendo anayofanya nje ya ndoa yenu si utaji-mkwawa wewe!?? Maoni ya wengi hapa yanaonyesha huyu mdada ni punguani ndo maana anaona fahari kujidhalilisha lkn wewe unamshutumu Sugu.!
Karibu sana tuendelee na story.
Usihofu nitaweka niko barabarani kwa sasa.