Wameiba Kura
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 390
- 3
Use u r l:A S-heart-2:E IQ kumsaidia huyu mama, hasa wadada wote wa JF mawazo yenu, plse
Kuna mama yupo ndani ya ndoa kwa 9 yrs sasa, ana watoto wawili, wa 6yrs na 1yr na 6months, wote boys, Mzee wake alishazaa binti form 2 now na mwanamke mwingine kabla ya kumuoa huyu mama, na wanakaa nae na house girl, baba anaonekana kama anaulizia sana Mtoto wa kazi 19yrs kama wiki mbili hivi zimepita, mara umekula nk mbele mkewe, hajali
Jmosi iliyopita mama na yule mtoto wa mama wa kambo wakawa naenda hospital Mwananyamala, mzee asubuhi 3 akamkodishia taxi, na akampa ATM achukue kilo moja kwani yy anapumzika hapendi (kutokatoka jmosi kwa maneno yake mzee) akiwa anarudi home, basi mama kufika hospital watu kibao, akaona acha apitie ATM arudi home mapema aende Jtatu, basi akachukua taxi huyo ATM then Kimara stop over home,
eeehh kufika HOME ANAKUTA BABA HATA MLANGO HAKURUDISHA YUPO CHUMBANI ANAFANYA NGONO UCHI na HOUSE girl WOTE TENA HATA MKEWE ANAINGIA CHUMBANI HATA kushuka wanaendelea tu, miguno, mara aaaahhh, tamuu, mwaaaaaahhhh, mara house girl kamwona mama kakurupuka niachie mm, kakimbilia bafu la chumbani, kajifungia, mzee
kashtuka kampigia mama magoti uchi anamuomba msamaha, mama kakataa, kampiga house girl, kamrudisha Tabata, mama karudi Moshi ana wiki ya pili sasa, mzee anazidi kumwomba msamaha. Je mama arudi au laa, na inaelekea si mara ya kwanza kwa maelezo ya mama, mzee wake kashazaa na house girl wa nyumba ya jirani pia na anamtunza mtoto. Help
Kuna mama yupo ndani ya ndoa kwa 9 yrs sasa, ana watoto wawili, wa 6yrs na 1yr na 6months, wote boys, Mzee wake alishazaa binti form 2 now na mwanamke mwingine kabla ya kumuoa huyu mama, na wanakaa nae na house girl, baba anaonekana kama anaulizia sana Mtoto wa kazi 19yrs kama wiki mbili hivi zimepita, mara umekula nk mbele mkewe, hajali
Jmosi iliyopita mama na yule mtoto wa mama wa kambo wakawa naenda hospital Mwananyamala, mzee asubuhi 3 akamkodishia taxi, na akampa ATM achukue kilo moja kwani yy anapumzika hapendi (kutokatoka jmosi kwa maneno yake mzee) akiwa anarudi home, basi mama kufika hospital watu kibao, akaona acha apitie ATM arudi home mapema aende Jtatu, basi akachukua taxi huyo ATM then Kimara stop over home,
eeehh kufika HOME ANAKUTA BABA HATA MLANGO HAKURUDISHA YUPO CHUMBANI ANAFANYA NGONO UCHI na HOUSE girl WOTE TENA HATA MKEWE ANAINGIA CHUMBANI HATA kushuka wanaendelea tu, miguno, mara aaaahhh, tamuu, mwaaaaaahhhh, mara house girl kamwona mama kakurupuka niachie mm, kakimbilia bafu la chumbani, kajifungia, mzee
kashtuka kampigia mama magoti uchi anamuomba msamaha, mama kakataa, kampiga house girl, kamrudisha Tabata, mama karudi Moshi ana wiki ya pili sasa, mzee anazidi kumwomba msamaha. Je mama arudi au laa, na inaelekea si mara ya kwanza kwa maelezo ya mama, mzee wake kashazaa na house girl wa nyumba ya jirani pia na anamtunza mtoto. Help