Ndio maana, kuna ishu niliipata nikakucheki mshikaji wangu wa nguvu aah sikukupata, kuja jf nikakuta una ban ya nguvu nikasema heeeh wamem ban hadi kwenye simu ama nini.Jaman ,,, kale kasimu kaliibiwa kila kitu kimepotea ndo maana km umewah nitafuta wasap sipatikan tena kwaile namba mpendwa !!.
Tena anafanya makusudi kabisaWewee ni zombie kumtia mijinoo mtoto wa watuu kila siku!??
😀....Mambo ya kuiga wazungu tuu hakuna lolote...huoni hata picha kaweka ya mzungu?
Ni upupu mwishoe muambukizane tetenasiHata sioni mvuto wake bora niwe mshamba katika hilo.
Wewe sasa umekuwa zombie??Nitahakikisha naondoka na kipande kabisa.
Kwani wewe huzipendi?Kwanini umuwekee? njia rahisi ni kutomwekea hizo love bites au apake foundation
Nazipenda ila siwekewi sehemu za kuonekanaKwani wewe huzipendi?
Mmmh? Kuna sehemu hazionekani? Kama hazionekani anaekuweka anazionaje?Nazipenda ila siwekewi sehemu za kuonekana