Looking for University Physics book

Looking for University Physics book

c034ab4a7ab99dbf11dd7a263d8d35fa.jpg
 
umekionaeee...ndio nimekipiga photo ndani na nje..kipya kabisa
 
Mkuu ntakutazamia kwenye makarabrasha yangu, sina uhakika kama kilichukuliwa au lah, maana baada ya kumaliza niligawagawa madude yote, nikikipata ntakupa free bila ya senti.. Gharama yako ni nauli mpaka kigamboni au DIT kuja kukichukua.
 
Upo wap bro?
Mkuu UP ni kitabu kizuri but ningekushauri utafute nelkon & Parker six edition au kama utaweza tafuta 3rd edition vipo vizuri sana karibu kila topic, UP kama mdau mmoja hapo juu alivosema ni kizuri sana kwa mechanics alafu kina mambo mengi ambayo mengine hata hayawahusu advance
 
Hivi wewe unaifahamu UP yenyewe au unaisikia. Hicho kitabu ni cha zamani sana na kinatumiwa sana na wanafunzi wa A level kusoma physics. Hiki sio kitabu cha kutumiwa na 'kil@z@'! Kukipata tafuta mtu aliyewahi kusoma Mzumbe, Iliboru, Kibaha au Tabora boys, Tabora girls na Kilakala...
Sio tu aliyesoma hizo shule....mtu yeyote aliyesoma physics ataweza msaidia
 
Sio tu aliyesoma hizo shule....mtu yeyote aliyesoma physics ataweza msaidia
Wewe umewahi kukiona? Acha tu kukisoma. Mimi mwenyewe nimesoma PCM shule ya vipanga lakini nilikuwa nakiona kwa mbaali... Wasongo ndio walikuwa wanakitumia zaidi.
 
Mkuu ntakutazamia kwenye makarabrasha yangu, sina uhakika kama kilichukuliwa au lah, maana baada ya kumaliza niligawagawa madude yote, nikikipata ntakupa free bila ya senti.. Gharama yako ni nauli mpaka kigamboni au DIT kuja kukichukua.
Daah ntashukuru xna bro
 
Hivi wewe unaifahamu UP yenyewe au unaisikia. Hicho kitabu ni cha zamani sana na kinatumiwa sana na wanafunzi wa A level kusoma physics. Hiki sio kitabu cha kutumiwa na 'kil@z@'! Kukipata tafuta mtu aliyewahi kusoma Mzumbe, Iliboru, Kibaha au Tabora boys, Tabora girls na Kilakala...

UP vilitolewa kama msaada na USA na havipo madukani. Hadi uwe umesoma shule zilizokuwa serious ndiyo utakijua hicho kitabu.
 
Wewe umewahi kukiona? Acha tu kukisoma. Mimi mwenyewe nimesoma PCM shule ya vipanga lakini nilikuwa nakiona kwa mbaali... Wasongo ndio walikuwa wanakitumia zaidi.
Nimesoma PGM (once) nimekiona, nimekitumia, nothing special...anyone aliyesoma phy anaweza kujua atapoeza pata!! Maktaba za shule au za mkoa kinakua kipo sana tu
 
We dogo, uspende kucomplicate UP mdogo Wang kwa advance achana nayo....maisha n simple Sana ukifuata utaratibu...mm sikuwah kugusa hcho kitabu nlipokuwa advanc, lakn nlifaulu physics kwa ktmia chand & nelkon tu,kwa faida yako ukiongeza roger yatosha, kichwa chako bado kidogo Sana,usjitwike mizgo utabaki skeleton....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom