hivi ni macho yangu au.....naona upepo wa waKenya na waEthiopia unavuma vibaya safari hii.....
Wakenya hawaonekani kujituma sana kwenye Olympics kama wafanyavyo kwenye mashindano mengine yenye malipo mfano Golden League. Kuna Mkenya mmoja aliwahi kunambia baadhi yao hupewa motisha na mataifa yanayokamia medali ili wakimbie kama pacemakers na hulipwa kwa masharti kwamba asichukue gold medal.