Loliondo, OBC, Dowans: The disturbing connection and secrets

Loliondo, OBC, Dowans: The disturbing connection and secrets

Na kwenyewe wameandamwa! Wenye Grumeti waliisha wahi kupigiwa kelele kuhusu mahusiano yao na wahadzabe.

Sasa unataka kutuambia kwa vile wazungu nao wanafanya uovu basi tusiwaandame waarabu? Unaipenda kweli nchi yako au umeweka mbele uhusiano wako wa kidini?

Amandla....

Weka data zao hapa, waarabu ''wameua'' mbizi wanne kwa mujibu wa taarifa? weka data za hizo mbuga zingine tuzione.
 
Wakuu zangu,
Canada is the second largest country in the world.. kuna Tanzania kama 10 kwa eneo la mraba.. Na nchi hiyo ina population karibu sawa na Tanzania, hivyo sehemu kubwa ya nchi haina watu kabisa ni misitu na mbuga tupu..
Russia, Marekani na hata China wote hawa wana ardhi kubwa tupu, lakini hawauzi ardhi hiyo kwa wageni hata kama King wa Saudia atoe mafuta yote kwa kipande cha ardhi..Hii haina maana hawa wote ni wajinga hawafahamu uwekezaji una faida zipi..
Sisi Malimbukeni, malaya wa fedha, tupo radhi kuuza ardhi yetu kupata utajiri wa haraka hali umalaya wetu unafuatana na ulevi wa mali zao.
 
Kweli nchi yetu inashida kubwa sana..

Nimekwenda loliondo na kweli kuna sehemu ambazo ni kame ila hii ya hawa wawindaji ni nzuri ina maji na iko kijani wakati huu.

Kilichonishangaza ni kuona kuwa watu wa huku wenye uwezo wanaishi maisha mazuri sana kuliko hata sisi huu mijini.. Kule wanatumia solar na wana mabomba ya maji.

Ili nilichogundua kuna ujangili mkubwa sana.. Nilikuta polisi wanapewa hela na hawa majangili ili waweze kufanya uharamia wao.. Kule hawa majangili yanafanya biashara ya ngozi za punda milia.. Wanawauwa nanachuna ngozi na kuacha nyama hapo na kuondoka.. Hili viongozi wote wa serikali wanalijua.. Kweli ni aibu kubwa sana.

Hawa wasonjo wamegawanywa makundi mawili.. Kuna wale ambao hadi leo wako kwenye jadi na maisha yao ni magumu sana na kuna wale ambao amenunuliwa na hawa arabu na wao wanavaa vizuri na wanaishi maisha mazuri sana.

Hii yote ni serikali imewagawanya wananchi wake ili iweze kuiba maliasili ya watu wake.

Sasa naomba tushauriane nini tufanye????
 
taarifa za kuaminika NI KWAMBA KINANA NDO ANAISIMAMIA HIYO KAMPUNI YA OBC YA LOLIONDO HAPA TANZANIA SO UNAWEZA ONA HIYO CONNECTION WAZI.....
 
Connect them if you can: Loliondo Gate => Yaeda Chini => Dowans and CCM!

What is the connection? There is a connection, a troubling one that is.
Hivi ni kati ya vitu vinavyonifanya nihukumu kuwa tatizo ni letu watz wenyewe,hujuma kali iltakiwa ifanywe kwa hawa watu,kufyekelea mbali baadhi yao,wangetia akili tu,mwarabu ni mshenzi.
 
Naombeni kuelimishwa maana ya neno 'concession'? Please guys!
 
Jamani tukubaliane kwa pamoja kuwa hatuna serikali kwa sasa. Kama serikali ipo ni kwa nini iwakubali watu wa nje waje wawatawale wenyeji ambao wameishi kwenye maeneo yao miaka nenda rudi. Je shria ya ardhi inasema nini kuhusu wageni kmiliki ardhi Tanzania? Ni kwa nini tunaweka sharia na hatuzifuati?
 
Ina maaana washa UZIWI na hapo au?

Sifahamu kama wameshauziwa na pale. Ila ni jambo la kushangaza na lisilo sahihi kiusalama zaidi kwa ofisi za kampuni binafsi, tena ya nje kuna na ofisi karibu na ikulu. Hapo ni mahala ambapo nilitegemea kuwe ni makazi ya wana usalama, ama ofisi muhimu zilizo chini ya ofisi ya rais.

Lakini kwa Tanzania yetu, naona sasa ni mambo ya kawaida mno. Ni sawa ni lile jengo la ghorofa nyingi pale karibu na Ocean Road Hospital, ambapo, mtu akiwa ghorofa ya mwisho wa jengo hilo, anaweza kuona hata mahala kaka mkuu anapojisitiri pale Ikulu!
 
Wakuu,

jf is an archieve! Nakumbuka scandal za Loliondo ya mzee mwinyi! so 2009 to date na miaka hiyo kabla Loliondo imeedelea kuwa shamba la bibi...ni jimbo la nani? EL yuko huko? sorry natoka upande mwingine wa nchi with little abc.za huko. Kimya cha magogoni may mean kuhusika ktk mgogoro huo? nini hatima ya walionyanganywa ardhi na kuvunjiwa nyumba? tunaweza fanya nini Loliondo huwe mgogoro wakitaifa for collective effort to help the victims?....
 
Wakuu,

jf is an archieve! Nakumbuka scandal za Loliondo ya mzee mwinyi! so 2009 to date na miaka hiyo kabla Loliondo imeedelea kuwa shamba la bibi...ni jimbo la nani? EL yuko huko? sorry natoka upande mwingine wa nchi with little abc.za huko. Kimya cha magogoni may mean kuhusika ktk mgogoro huo? nini hatima ya walionyanganywa ardhi na kuvunjiwa nyumba? tunaweza fanya nini Loliondo huwe mgogoro wakitaifa for collective effort to help the victims?....

ni kwa kusaini petition....zikitimia kuanzia mil 1 tunaweza kufanya kitu
 
Hivi ni kati ya vitu vinavyonifanya nihukumu kuwa tatizo ni letu watz wenyewe,hujuma kali iltakiwa ifanywe kwa hawa watu,kufyekelea mbali baadhi yao,wangetia akili tu,mwarabu ni mshenzi.

kuna watz wameajiriwa huko kwa ajili ya ulinzi na patrol.ukikutana nao wakakusimulia wanayofanya huko,hata hautamlaumu mwarabu.tunatesana na kupigana risasi wenyewe,mwarabu analipa pesa watz hao hao wanamalizana wenyewe.na wanalipwa pesa ndefu sana.njaa mbaya!
 
No Words!!
CCM wanaiita nchi yetu ni yenye amani na utulivu!
Lema alimjibu kwa kumtahadharisha Naibu Waziri kuwa "Amani ni tunda la Haki"
Naishia hapo,.... Mungu ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom