Loliondo, OBC, Dowans: The disturbing connection and secrets

kampuni hii ndio Inalalamikiwa na ndugu zetu wamasai...baadhi ya watumishi wa serikali kama askari polisi na maafisa maliasili wanalalamika kwanini kampuni Iwalipe posho ya sh 10000/= kwasiku? viongozi waserikali Imulikeni kampuni hii..!
 
Yani nchi hii tamu sanaa, umenikumbusha sanaaa... nilipita sehem moja utengule- kilombelo,Morogoro nikakuta waarabu wameamia pale na nyumba zao za kubeba na chakula chao, sijui walikuwa wanafanya nini wananchi walizuiwa kuvua samaki, kupita na kufanya jambo lolote maeneo hayo pembezoni mwa mto na bonde, WAKATI MAISHA YAO WANAYAENDESHA KWA KILIMO na UVUVI TUU.

Walitumia train ya Tazara kifika mpaka mlimba, then walikuwa na magari kama 14 makubwa sana yamemebeba mamizigo n.k...na wamaekaa sanaa

Tanzania tamu sana, kwa loliondo wamiliki wao wapo dodoma sasa wanachambua maoni ya katiba ya wanachama wao.
 
Asee hii nchi ni ya ajabu na kwa huu unafiki hatutafika kokote

Jana baada ya sumaye kupokonywa shamba tukawa tunabadilishana mawazo na wadau

Ilikuwa tunajadili ni sahihi au sio sahihi

Lkn katikat ya maongezi likaja suala la aridhi ya loliondo waliopewa waarabu karibu hekari alfu hamsini

Hill eneo ngozi nyeusi/watanzania hawaruhusiwi kusogeza pua wala kupitisha mifugo katika eneo hili

Wananchi wa loliondo wanaishi km wakimbizi kwenye aridhi yao aridhi ambayo wameitumia enzi na enzi

Mbaya zaidi katika eneo hill walilopewa waarabu halisomi network ya Tanzania tena yaan unapoingia nchi ya waarabu ndani ya Tanzania uko loliondo linakuonyesha network ya huko mashariki ya kati


Katika maongezi tukabaini kumbe lile eneo wamepewa waarabu kwa miaka 999 pmj na wanyamapori waliopo mle ni Mali yao

Mh. Magufuli kwa kuwa umeapa kurudisha heshima na utu wa mtanzania sisi tunasubiri kuona jinsi gani haya mashamba yalizawadiwa kwa waarabu yanarudi

Km mh sumaye haikuchukua hata sekunde kufikiria kumpokonya shamba lake
Ni kweli alimiliki shamba kubwa lkn kule loliondo ni km wilaya imenunuliwa

Tunahitaj tuone makali ya sheria itende kazi kwa wote isiwe kwa baadhi ya watu


mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
ec6931a6430cfe3776d010e5b57def55.jpg
 
Asee hii nchi ni ya ajabu na kwa huu unafiki hatutafika kokote

Jana baada ya sumaye kupokonywa shamba tukawa tunabadilishana mawazo na wadau

Ilikuwa tunajadili ni sahihi au sio sahihi

Lkn katikat ya maongezi likaja suala la aridhi ya loliondo waliopewa waarabu karibu hekari alfu hamsini

Hill eneo ngozi nyeusi/watanzania hawaruhusiwi kusogeza pua wala kupitisha mifugo katika eneo hili

Wananchi wa loliondo wanaishi km wakimbizi kwenye aridhi yao aridhi ambayo wameitumia enzi na enzi

Mbaya zaidi katika eneo hill walilopewa waarabu halisomi network ya Tanzania tena yaan unapoingia nchi ya waarabu ndani ya Tanzania uko loliondo linakuonyesha network ya huko mashariki ya kati


Katika maongezi tukabaini kumbe lile eneo wamepewa waarabu kwa miaka 999 pmj na wanyamapori waliopo mle ni Mali yao

Mh. Magufuli kwa kuwa umeapa kurudisha heshima na utu wa mtanzania sisi tunasubiri kuona jinsi gani haya mashamba yalizawadiwa kwa waarabu yanarudi

Km mh sumaye haikuchukua hata sekunde kufikiria kumpokonya shamba lake
Ni kweli alimiliki shamba kubwa lkn kule loliondo ni km wilaya imenunuliwa

Tunahitaj tuone makali ya sheria itende kazi kwa wote isiwe kwa baadhi ya watu


mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
HAWEZI KUTHUBUTU ANAWEZA KWA MBOWE NA SUMAYE TU.
jitokezani sasa waimba kwaya wa Lumumba.
 
Back
Top Bottom