kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
bila shaka baadhi yenu hii logo si ngeni machoni penu.
branding wise,hii ni moja kati ya logo inayonivutia.nikaweka nia siku moja nikipata wasaa nijaribu kui-recreate kwa mbinu na maarifa yangu kwa kuongeza/kupunguza baadhi ya details bila kupoteza uhalisia wa logo halisi.
na hiyo ndio logo niliyo create.
hii ndio logo halisi ya bidhaa husika.
how did i do it?.nakaribisha maoni/maswali.
branding wise,hii ni moja kati ya logo inayonivutia.nikaweka nia siku moja nikipata wasaa nijaribu kui-recreate kwa mbinu na maarifa yangu kwa kuongeza/kupunguza baadhi ya details bila kupoteza uhalisia wa logo halisi.
na hiyo ndio logo niliyo create.
hii ndio logo halisi ya bidhaa husika.
how did i do it?.nakaribisha maoni/maswali.