Logo Design Hacking

kama huna psd/source/vector file la mtengenezaji kuclone ni ngumu kuliko hata kutengeneza file lako mwenyewe
Chief asante kwa kuongezea nyama ktk hili bro.

kwa kukazia tu,kusudi hasa la mada ni kuonyesha logo niliyo buni kwa kuiga logo nyingine inayofanana nayo.ndio maana pale juu nimetumia neno "hacking".

kwa kumsaidia tu mdau wetu hapo juu,ni kwamba sikutumia source toka psd files,Bali nili download castle lager image toka google na kuitumia kama guideline ku-design logo yangu.hilo zoezi si rahisi.
 
naomba unipe hizo app mkuu nizichek napenda sana hayo mambo
Mimi nipo "madongo kuinama" huku mkoani n'twara.wewe mwenzangu Upo wapi?.nimesema/nimeuliza hivo ili nifahamu kama jiographia za maeneo yetu zinaweza zikarahusisha kukutana ili nikupe app/software za graphics design.

unaweza pia uka download toka mtandaoni.
 
jf-png-png.368252


Mkuu kadoda, nipo far na PC but nashindwa kuelewa shape ya umbo hilo jekundu na jeupe imekaa vipi.
Naona umbo jekundu lina Drop shadow chini na pale juu pia pana shadow.
Ki uhalisia logo yako ni kwamba kuna mwanga unapiga, hivyo basi, nilitegemea shadow iliyoko kwenye shape nyekundu, basi iwe sawa na ile shadow uliyowekwa kwenye neno lako KADODA, maana kwenye Kadoda pana drop shadow iliyobend upande wa chini tu.
Hivyo basi nimeshindwa kuelewa central light ilipiga vipi, kama maneno kivyake na ile shape nyekundu kivyake au vipi.
Pia drop shadow ya ile shape ya juu kabisa, nafikiria ingefaa pia ikiwa squeezed internally icheki freshi ya Castle ile pia naweza eleweka.

N:B Kazi nzuri na hongera pia.
 
jf-png-png.368252


Mkuu kadoda, nipo far na PC but nashindwa kuelewa shape ya umbo hilo jekundu na jeupe imekaa vipi.
Naona umbo jekundu lina Drop shadow chini na pale juu pia pana shadow.
Ki uhalisia logo yako ni kwamba kuna mwanga unapiga, hivyo basi, nilitegemea shadow iliyoko kwenye shape nyekundu, basi iwe sawa na ile shadow uliyowekwa kwenye neno lako KADODA, maana kwenye Kadoda pana drop shadow iliyobend upande wa chini tu.
Hivyo basi nimeshindwa kuelewa central light ilipiga vipi, kama maneno kivyake na ile shape nyekundu kivyake au vipi.
Pia drop shadow ya ile shape ya juu kabisa, nafikiria ingefaa pia ikiwa squeezed internally icheki freshi ya Castle ile pia naweza eleweka.

N:B Kazi nzuri na hongera pia.
mkuu asante kwa comment yako na asante kwa pongezi.

kwa sasa nipo barabarani,nikifika maskani kwangu nitakujibu kwa ufasaha zaidi kuhusu kivuli(shadow) na mengineyo kuhusiana namna nilivo design hii logo.
 
snipa
niseme tu kwamba wakati na design hii logo sikuwa serious sana.

nilifanya tu almradi ili kuchangamsha akili baada ya kupata inspiration kutoka ktk logo halisi ya brand ya castle lager.

concept yangu haikuwa ktk kuzingatia suala la font halisi ya logo au muelekeo wa mwanga/kivuli cha nje.


tukija sasa kwenye brand logo halisi ya castle lager.

baada ya ku-design logo ile,niliamua kuwa serious kidogo.
nika-design logo nyingine from the same brand.

lengo langu hasa nilikuwa nataka ni design logo ambayo kwa asilimia kubwa inashabiiana na logo halisi ya castle lager,kuanzia shape,color theory, fonts na elements zingine chache ambazo nimeziongeza
mwenyewe.

hii ndio logo halisi ya castle lager niliiyotumia kama guideline.
d4e7e3b6cb9948f8210e5f050c54ce8d.jpg


na hii ndio design niliyofanya mimi.
4943953f658692390de6f5f7bcefd3dc.jpg
 
snipa lager.jpg


kadoda11
Just wanted to see how my name will sound on the can.
I used Adobe Photoshop CC 2015 to achieve the goal set.
 
unatumia afobe trial au ya kuliia mie trial iliisha muda kila nikijaribu kuwek tena haikubali.
Tumia hii tool nimeattach ili uweze kutumia full version.

Password = snipa

Disable protection ya Antivirus or exclude painter kwenye scan list, maana hii tool sio validated na Microsoft or any AV's software.
 

Attachments

  • adobe.snr.patch-painter.zip2.zip
    518.1 KB · Views: 39
Back
Top Bottom