Logo Design Hacking

kadoda11

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
21,456
20,709
bila shaka baadhi yenu hii logo si ngeni machoni penu.
branding wise,hii ni moja kati ya logo inayonivutia.nikaweka nia siku moja nikipata wasaa nijaribu kui-recreate kwa mbinu na maarifa yangu kwa kuongeza/kupunguza baadhi ya details bila kupoteza uhalisia wa logo halisi.

na hiyo ndio logo niliyo create.
jf png.png


hii ndio logo halisi ya bidhaa husika.
Castle_Logo_-_02.JPG


how did i do it?.nakaribisha maoni/maswali.
 

Attachments

  • jf png.png
    jf png.png
    155.9 KB · Views: 144
  • Castle_Logo_-_02.JPG
    Castle_Logo_-_02.JPG
    15 KB · Views: 116
bila shaka baadhi yenu hii logo si ngeni machoni penu.
branding wise,hii ni moja kati ya logo inayonivutia.nikaweka nia siku moja nikipata wasaa nijaribu kui-recreate kwa mbinu na maarifa yangu kwa kuongeza/kupunguza baadhi ya details bila kupoteza uhalisia wa logo halisi.

na hiyo ndio logo niliyo create.
View attachment 368252

hii ndio logo halisi ya bidhaa husika.
View attachment 368255

how did i do it?.nakaribisha maoni/maswali.
Logom unatengeneza kwa Tsh ngapi mkuu nikupe kazi.
 
bila shaka baadhi yenu hii logo si ngeni machoni penu.
branding wise,hii ni moja kati ya logo inayonivutia.nikaweka nia siku moja nikipata wasaa nijaribu kui-recreate kwa mbinu na maarifa yangu kwa kuongeza/kupunguza baadhi ya details bila kupoteza uhalisia wa logo halisi.

na hiyo ndio logo niliyo create.
View attachment 368252

hii ndio logo halisi ya bidhaa husika.
View attachment 368255

how did i do it?.nakaribisha maoni/maswali.
Ebu ingiza kitwanga apo
 
bila shaka baadhi yenu hii logo si ngeni machoni penu.
branding wise,hii ni moja kati ya logo inayonivutia.nikaweka nia siku moja nikipata wasaa nijaribu kui-recreate kwa mbinu na maarifa yangu kwa kuongeza/kupunguza baadhi ya details bila kupoteza uhalisia wa logo halisi.

na hiyo ndio logo niliyo create.
View attachment 368252

hii ndio logo halisi ya bidhaa husika.
View attachment 368255

how did i do it?.nakaribisha maoni/maswali.
kazi nzuri mkuu hapo bado hizo fonts tu naona zako na za castle ni tofauti
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom