TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,330
- 8,421
Mwaka kesho natimiza miaka nane kumbe kuna umuhimu WA kusheherekeaSiku kama yeo mwaka 2017 niliingia rasimi katika mtandao wa JF imetimia miaka Sita kama mwana JF natoa shukrani kwa wana Jf wenzangu kwa michango yenu.
Nimebadili sana maisha yangu mtazamo wangu ndani ya hii miaka pongezi zangu kwa Moderator @maxemelo