Lodge Kilimanjaro ya Dodoma ina kunguni

Lodge Kilimanjaro ya Dodoma ina kunguni

Angewaambia huko wengine humu JF wangejuaje? Amefanya vizuri kutuambia humu.BIG UP MAN. HATUENDI HIYO LODGE .
Mtazamo wangu upo tofauti na wewe mimi ninefikiri kutatua tatizo kama lipo na si kwa ninyi wachache wa JF kwenda au kutokwenda...
 
nikiwa mteja wa lodge hii ya KILIMANJARO hapa njia panda ya Kisasa hapa mjini Dodoma leo asubuhi na mapema nikijiandaa kwenda mazoezini nikaona mdudu akizuzula kwenye net yangu na baada ya kumbonyeza akatoa damu.Chukueni tahadhari kwani unaweza kulipa lodge 30,000 au 25,000 dodoma na bado ukabeba kunguni ukapeleka kwny familia
Hapo Kilimanjaro ni 5000/= tu acha fix

Ukipenda cheap hiyo ndio faida yake kushare na kunguni!
 
nikiwa mteja wa lodge hii ya KILIMANJARO hapa njia panda ya Kisasa hapa mjini Dodoma leo asubuhi na mapema nikijiandaa kwenda mazoezini nikaona mdudu akizuzula kwenye net yangu na baada ya kumbonyeza akatoa damu.Chukueni tahadhari kwani unaweza kulipa lodge 30,000 au 25,000 dodoma na bado ukabeba kunguni ukapeleka kwny familia
Mkuu lala lorge za kawaida mbona nzuri tu Mimi huwa nafikia lorge inaitwa Kenya lorge no nzuri au Kampala anex
 
Kunguni ni mdudu complicated, unaweza ukamuona sehemu kumbe umemleta wewe hapo | assume usingemuona angekuwa kwenye nguo then ukaenda kumuona kwa mshikaji ungeleta mada iyoiyo kwa muhusika “mshkaji”
Hahahah
 
Kunguni ni mdudu complicated, unaweza ukamuona sehemu kumbe umemleta wewe hapo | assume usingemuona angekuwa kwenye nguo then ukaenda kumuona kwa mshikaji ungeleta mada iyoiyo kwa muhusika “mshkaji”
Duuuh, Kama inaniingia akilini hii kitu.
 
Aiseeeeee mwaka jana mwezi wa 6 nilisafiri zangu kuja kwa demu wangu dent wa chuo cha Mipango, nilitafuta lodge moja hapo mjini nikiaona ina huduma nzuri kabisa, na msosi wanaandaa wa maana, ile nimekaa wakati namsubiria manzi atinge, nikajikuta naona kunguni kwenye net, nilitoka mbio nakupiga kelele kwenda kumuita mhudumu nikaomba hela yangu nihame pale ndo wakaniomba radhi na kumihamisha room aiseeee nilikosa amani kabisa
 
Kunguni ni mdudu complicated, unaweza ukamuona sehemu kumbe umemleta wewe hapo | assume usingemuona angekuwa kwenye nguo then ukaenda kumuona kwa mshikaji ungeleta mada iyoiyo kwa muhusika “mshkaji”
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
 
Nawapenda sana kunguni a.k.a difenda, bedbugs, night vampire
Wananikumbusha mbali sana nakumbuka nilikua mtaalam wa kuwaangamiza na kuwaminya wakiwa washashiba damu
we jamaaa mwehu sanaaaaaaa😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Yalisha wahi nikuta Dodoma mjini Kati miaka kadhaa nyuma nikiwa na :::: enu dahhh bahati mbaya Kati yetu hakuna aliekua anawajua ilikua Ni kujikuna tu dahhhh ITEGAAAA shkamooo
 
Ha
nikiwa mteja wa lodge hii ya KILIMANJARO hapa njia panda ya Kisasa hapa mjini Dodoma leo asubuhi na mapema nikijiandaa kwenda mazoezini nikaona mdudu akizuzula kwenye net yangu na baada ya kumbonyeza akatoa damu.Chukueni tahadhari kwani unaweza kulipa lodge 30,000 au 25,000 dodoma na bado ukabeba kunguni ukapeleka kwny familia
Hamia Bwawani ĺl lodge
 
Bila shaka kunguni umeona baada ya kulala,Mhudumu umemweleza na akashuhudia hilo dai lako
 
Mkuu 'gesti bubu' uliipaje hadhi ya lodge?

Lodge na kunguni wapi na wapi bw?

Hadhi ya lodge ni umaridadi wa mjengo, samani za ndani, usafi na menejimenti ya kinidhamu.

Ukiangalia mandhari ya sura ya jengo pekee, wallah ugeni wa mji utaparamia danguro.

Pole sana mkuu kwa usumbufu ulioupata.
 
Huyu Jamaa na uzi wake ni kuwa alilala Kilimanjaro asubuhi anaamka analalamika Kunguni.. Ila kwa Usafi na mandhari nzuri ya Kilimanjaro ni kama huyu ndugu alikuja na kunguni wake ama demu aiyekuja naye ndiye aliyebeba kunguni maana ni ajabu sana kumsikia kunguni lodge ya Kiliamanjaro... Naafahamu na napalala na nimeuliza baada ya kusoma hili bandiko nikaambiwa hata wahudumu alishangaa kunguni katoka wapi maana hawajawahi kumsikia hapo.
 
nikiwa mteja wa lodge hii ya KILIMANJARO hapa njia panda ya Kisasa hapa mjini Dodoma leo asubuhi na mapema nikijiandaa kwenda mazoezini nikaona mdudu akizuzula kwenye net yangu na baada ya kumbonyeza akatoa damu.Chukueni tahadhari kwani unaweza kulipa lodge 30,000 au 25,000 dodoma na bado ukabeba kunguni ukapeleka kwny familia
Ttzo halipo ddm ila ttzo ni hiyo klm lodge
 
Back
Top Bottom