Lodge Kilimanjaro ya Dodoma ina kunguni

Lodge Kilimanjaro ya Dodoma ina kunguni

Nimesikitika ndio. Na nipo tayari kutoa msaada. Ila kulala sehemu ya elfu 5 nafuu kuesha tuu. Maana utakosa usingizi mbaya zaidi utaambulia kunguni
Mimi mtoto wa kike siwezi kulala stend.
Nilitegemea ungechukua jukumu LA kuanza kunilipia maana hali yangu inaonyesha imekusikitisha.
 
Nimesikitika ndio. Na nipo tayari kutoa msaada. Ila kulala sehemu ya elfu 5 nafuu kuesha tuu. Maana utakosa usingizi mbaya zaidi utaambulia kunguni
Sawa mkuu, tena hiyo ya 5000 bado huwa inaniuma kweli. Natamani zingekuwa hata za buku.
 
Acha kujumlisha babu, mi nakaa Dodoma mbona hapa kwangu hivyo vitu hamna? Uchafu wa mtu binafsi usiufanye uonekane ni uchafu wa mji mzima...
Sijajumlisha ila to be honest tatizo hilo ni kubwa Dodoma.
 
Kunguni ni mdudu complicated, unaweza ukamuona sehemu kumbe umemleta wewe hapo | assume usingemuona angekuwa kwenye nguo then ukaenda kumuona kwa mshikaji ungeleta mada iyoiyo kwa muhusika “mshkaji”
Myth
 
Hapana, hata sijawahi kuwaona .
Ila nimeshasoma sana kuhusu hawa wadudu na namna wanavyohama.
Sasa hujawah kuwaona siku ukiwaona utawajuaje kama ni wenyewe maana ukute hapo ulipo unao ila sababu huwajui
 
Back
Top Bottom