Lodge Kilimanjaro ya Dodoma ina kunguni

Lodge Kilimanjaro ya Dodoma ina kunguni

Sasa hujawah kuwaona siku ukiwaona utawajuaje kama ni wenyewe maana ukute hapo ulipo unao ila sababu huwajui
Naomba ikujibu kisomi.
Kuna vitu vingapi duniani ambavyo haujawahi kukutana navyo ila unavijua kwa kuvisoma tuu?
Nimesema nimevisoma na ninajua utendaji kazi wake, namna vinavyo fanya kazi. Ningekuwa navyo ningevitambua kwa utendaji wao wa kazi.
 
Mkuu mbona unalala lodge za kawaida sanaa. Ulizia wenyeji wakuelekeze lodge nzuri.
 
Nina miaka 31 sasa hivi lakini sikuwahi kukutana wala kumjua kunguni anafananaje. Ila wiki iliyopita nilishangaa usumbufu usiku nikilala naona mdudu naua ila baadae anatokea mwingine nikaua mmoja nikashangaa damu kwenye mto. Ikabidi nichukue simu ni google Kunguni matokeo ya picha yalipokuja nikashangaa anafanana kabisa na mdudu niliemuua.Asubuhi kutoa godoro nje nikakuta wameweka kambi kwenye ile mikunjo ya Godoro. Nilinunua Rungu zote ziliishia kwao. Naona hizi siku mbili tatu kitandani pametulia.
Kunguni ni mdudu complicated, unaweza ukamuona sehemu kumbe umemleta wewe hapo | assume usingemuona angekuwa kwenye nguo then ukaenda kumuona kwa mshikaji ungeleta mada iyoiyo kwa muhusika “mshkaji”
 
Kunguni ni mdudu complicated, unaweza ukamuona sehemu kumbe umemleta wewe hapo | assume usingemuona angekuwa kwenye nguo then ukaenda kumuona kwa mshikaji ungeleta mada iyoiyo kwa muhusika “mshkaji”
😂😂😂😂😂
 
Nina miaka 31 sasa hivi lakini sikuwahi kukutana wala kumjua kunguni anafananaje. Ila wiki iliyopita nilishangaa usumbufu usiku nikilala naona mdudu naua ila baadae anatokea mwingine nikaua mmoja nikashangaa damu kwenye mto. Ikabidi nichukue simu ni google Kunguni matokeo ya picha yalipokuja nikashangaa anafanana kabisa na mdudu niliemuua.Asubuhi kutoa godoro nje nikakuta wameweka kambi kwenye ile mikunjo ya Godoro. Nilinunua Rungu zote ziliishia kwao. Naona hizi siku mbili tatu kitandani pametulia.
Haahaa hapo umewaua kunguni ila mayai yao mazima kabsa subiri tu yaanguliwe utaona moto wake
 
nikiwa mteja wa lodge hii ya KILIMANJARO hapa njia panda ya Kisasa hapa mjini Dodoma leo asubuhi na mapema nikijiandaa kwenda mazoezini nikaona mdudu akizuzula kwenye net yangu na baada ya kumbonyeza akatoa damu.Chukueni tahadhari kwani unaweza kulipa lodge 30,000 au 25,000 dodoma na bado ukabeba kunguni ukapeleka kwny familia
BASATA waifungie hiyo gesti
 
nikiwa mteja wa lodge hii ya KILIMANJARO hapa njia panda ya Kisasa hapa mjini Dodoma leo asubuhi na mapema nikijiandaa kwenda mazoezini nikaona mdudu akizuzula kwenye net yangu na baada ya kumbonyeza akatoa damu.Chukueni tahadhari kwani unaweza kulipa lodge 30,000 au 25,000 dodoma na bado ukabeba kunguni ukapeleka kwny familia

Unaharibia watu biashara kwa vitu vya kusadikika
 
Ulichotakiwa kufanya ni kuongea na hao wenye hiyo Hotel na sio kuja huku maana kama wapo hapo ungewaona na wengine tena mngeenda hadi vyumba vingine sema maisha yalivyo kasi kwa ajili ya kuharibiana biashara na mshindani wako mambo haya yanatokea ingawaje hapo panaweza pakawa na kunguni ila kwa wewe tuu kusema bila wao kuthibitisha hao wadudu wana tabia ya ajabu sana utasema umewaona hapo kumbe umetoka nao mbali ...
 
Angewaambia huko wengine humu JF wangejuaje? Amefanya vizuri kutuambia humu.BIG UP MAN. HATUENDI HIYO LODGE .

Ulichotakiwa kufanya ni kuongea na hao wenye hiyo Hotel na sio kuja huku maana kama wapo hapo ungewaona na wengine tena mngeenda hadi vyumba vingine sema maisha yalivyo kasi kwa ajili ya kuharibiana biashara na mshindani wako mambo haya yanatokea ingawaje hapo panaweza pakawa na kunguni ila kwa wewe tuu kusema bila wao kuthibitisha hao wadudu wana tabia ya ajabu sana utasema umewaona hapo kumbe umetoka nao mbali ...
 
Kunguni ni kiumbe tu kama kumbikumbi hakuna haja ya kuwakimbia ni kuwakamaya kwa wingi tu na kuwageuza kitoweo.
 
Back
Top Bottom