Yap,true,UDSM ni ukongwe tu,mi nlishawahi kufanya usaili tulikuwa IAA,IFM,UDSM, na vyuo vingine post ya IT.Nakwambia ile post walipata IFM na IAA. UDSM chalii!so UDSM ni jina tu si tupo nao tunawaona wahitimu wa UDSM huku maofisini!Therez nothing special abt them,kawaida sana tu!Mmmmh basi kama ni hivyo wangepata ajira wa UDSM tu ni kwasababu ya ukongwe wa chuo tu ila waliotoka vyuo vingine wako juu kushinda wa UDSM so ni ukongwe tu
sikumjibu mtoa mada, kuna mtu nilimjibu hapo juuInamaana swali la mtoa mada ni gumu sana kwako mkuu..!?
Jibu swali la mtoa mada...
Chuo kipi ni bora katika taaluma ya sheria kati ya UDSM na Makumira..?
Inashangaza sana ndugu...
Swali la mtoa mada lilikua jepesi sana...
Ila watu bado wanazunguka tu..!
Sawa...sikumjibu mtoa mada, kuna mtu nilimjibu hapo juu
Sijasoma huko ila naskia hivi vyuo wako vizuri sana kwa law. Kuna ndugu zangu walisoma law tumain walinipa hizi habari saivi wako job.Sawa...
Jibu lako kwa mtoa mada ni lipi..?