kirabe
JF-Expert Member
- Jan 29, 2015
- 434
- 301
Inawezekanaje hio, au mnabebwaTumaini Makumira Katika Ubora Wetu Hakuna Anaemaliza Chuoni Hapa Akiwa Na Chini Ya GPA 3.5 . ALL WE ARE PURE IN NATURE.
Inawezekanaje hio, au mnabebwaTumaini Makumira Katika Ubora Wetu Hakuna Anaemaliza Chuoni Hapa Akiwa Na Chini Ya GPA 3.5 . ALL WE ARE PURE IN NATURE.
Naona umeamua kuwapakazia.Tumaini Makumira Katika Ubora Wetu Hakuna Anaemaliza Chuoni Hapa Akiwa Na Chini Ya GPA 3.5 . ALL WE ARE PURE IN NATURE.
Kijana...weweeeee hahaha kojoa kalale tu, utoto unakusumbua.
unadhani vyuo vikuu ni sawa na zile ligi zenu za kike za kiba na diamond?
hahahahaa
unasubiri jina la UDSM likubebe kwa mbeleko, tena kama mwanafunzi mwenyewe ndio wewe ICE MAN 3D mbona ni msiba.
Kama ulikosa NAFASI UDSM...udsm??? what is udsm?
Then ni vyema mkatoa jibu linaloeleweka kwa mtoa MADA,kuliko kujibu kwa kutumia HISIA zenu..!bwana mdogo kuna graduates wazuri sana wa mzumbe, makumira na kwingineko.
kuna graduates wazuri pia wa udsm
lakini kuna wabovu pia kutoka sehemu zote.
Inamaana swali la mtoa mada ni gumu sana kwako mkuu..!?Sishangai sana UDSM ipo kisiasa na kihistoria zaidi ndio maana siahangai sana mnavyojikuta wajaanja kumba wa kawaida tuu, wanafunzi kibao tunakutana nao field wa UDSM wala hawana lolote, wote tupo level moja tuu.
Mtoa mada nampa moyo simkatishi tamaa kuna vyuo vizuri sana vinatoa sheria kama University of iringa zamani tumaini au mzumbe.
Achana na hao wanajikuta wajanja kumbe outdated tuu.
Jibu swali la mtoa mada...kama aliyesoma udsm anaringa hivi, je wa havard asemeje.
Au mnataka vyuo vyote tz vifungwe ibak udsm?. Achen ushamba wa kubabaika na mambo ya kawaida, kila chuo kina sifa as long as kimepewa hadhi ya kuwa chuo kikuu
Inashangaza sana ndugu...Watanzania Tutaelimika Lini?
Mtoa Mada Ameomba Kujua Chuo Kipi Kati Ya Udsm Na Makumira Kina Toa Taaluma Nzuri Ya Sheria.
Wengi Wenu Humu Mmepondeana Vyuo Ambavyo Mmesoma Ama Mtavisoma Au Mmesikia Watu Wakisoma. Kitu Ambacho Ni Bias Na Kinaweza Kutomsaidia Mtoa Mada
Back To The Point Binafsi Kwa LL.B Nzuri Inapatikana UDSM Na Hilo Haina Ubishi Sana. Kutokana Na Ukweli Kwamba Wataalamu Wazuri Wa Kufundisha Sheria Kama Prof. Issa Shivji, Majamba Nk. Ambao Wamesaidia Kuwepo Kwa Wanasheria Nguli Tanzania Wapo UDSM.
In a Nutshell Nenda UDSM Hutojutia.
I doubt kama ni wa Makumira huyo-naamini anawapakizia tu. Atupe uthibitisho.Inawezekanaje hio, au mnabebwa
Naskia TUMAINI hakuna maprofesa.. Mtu mmoja Aliyemaliza LLB TUMAINI alienda kwenye panel pale law School akawa anababaika babaika alipokutana na maprofesa wa sheria kutoka UDSM wakamuuliza swali,,, IS IT YOUR FIRST TIME TO SEE A PHYSICAL PROFFESSOR??Tumaini Makumira Katika Ubora Wetu Hakuna Anaemaliza Chuoni Hapa Akiwa Na Chini Ya GPA 3.5 . ALL WE ARE PURE IN NATURE.
Nataka nikasome Bachelors Kwenye chuo mojawapo kati ya hivyo hapo sasa nipo dileNaomba kujua utofauti na ubora wa kozi za sheria kwa LLB ya UDSM na Tumaini Mkumira kwa ubora, soko ajira na ukubalikaji wake..
wewe kama sio mwaka wa kwanza basi ni wa pili upo!! maliza chuo uje ujioneeMtataka sana kuifananisha elimu ya UDSM na mivyuo yenu mingine mliyoisoma /mtakao kwenda kusoma e.t.c
Lakini toka miaka yetu hata sasa UDSM itabaki kuwa chuo chenye hadhi kubwa. Kwenye ajira vyuo vinaangaliwa sana. Ambao wanafanya job selection watakuambia
Tuliosoma UDSM na wadogo zetu wanaoendelea kusoma hapo tutabaki kuwa tofauti. ..kwenye ajira tunauzika
Ukisoma vizuri nilichoandika utajua chuo nilishamaliza miaka mingi sana iliyopita wakati Tz bara ina chuo cha UDSM, muhimbili na IDM mzumbe. Na kuchaguliwa UDSM mtaa mzima unajua. Kwani walichukuwa watu cream tu.Pole kama unajisikia vibaya na mivyuo yenu isiyoeleweka hiyowewe kama sio mwaka wa kwanza basi ni wa pili upo!! maliza chuo uje ujionee
ushamba tu,
wengi walichagua UDSM waje washangae jiji.
Ndugu fuatilia huyo tuna jibizana nini!kama aliyesoma udsm anaringa hivi, je wa havard asemeje.
Au mnataka vyuo vyote tz vifungwe ibak udsm?. Achen ushamba wa kubabaika na mambo ya kawaida, kila chuo kina sifa as long as kimepewa hadhi ya kuwa chuo kikuu
johnson meki wewe ni ms*nge tu.Good, naona sasa hivi umeanza kujua na kuzingatia matumizi ya nukta na alama zingine za uandishi.
nimeshaku exclude kwenye case study ya jopo la vilazer waliojificha kwenye mbeleko ya "udsm"
Tuache kudharau vyuo, even the other one is good, but kiukweli hata tembo akikonda hawezi lingana mbuzi.Hapo ni sawa na kumpambanisha simba na mbwq