Chuo hakisomi, au kufanya kazi, anayesoma ni mtu, na anayefanya kazi ni mtu, watu wanaangalia uwezo binafsi na sio chuo ulichosoma. Mfano miaka ya nyuma LL.B University of DSM Cut-off point ilikua ni 5, below that unakwenda kwingine, ila sasa wanachukua mpaka 7 points. Hicho ni kiashiria kua ubora wa elimu pia watu umepungua. ****** wapo kila mahali hata Harvard. mwisho wa siku ni namna unavyofanikisha mambo yako katika maisha. Huku mtaani watu wanapima mafanikio yako na sio chuo ulichosoma. Ila mkiwa shuleni mambo ya ubora wa vyuo yanakuwepo. Unless you want to be an academician, chuo ulichosoma wala GPA uliyonayo hakina/haina maana yoyote in real life.