Mkuu naona umeongezea mada juu ya mada, swala la GPA na kipimo cha uwezo wa mtu nayo ni mada.hakuna tofaut yoyote GPA tu ndio zinakubeba kwani ndio kipimo halisi cha uwezo wako mengine nj mbwembwe acheni kudanganya watu...
ndio maana ukiwa na GPA ndogo una sup mwisho wa siku una disco...Mkuu naona umeongezea mada juu ya mada, swala la GPA na kipimo cha uwezo wa mtu nayo ni mada.
Ok,its not your problem...kumbuka hata wachina hawajui kiingereza.unaona ulivyo peasant.
huko vyuoni mnafundishwa kwa kisukuma?
if you cannot understand where and when to fix simple and common auxilliary verbs in your sentences, wewe ni zaidi ya kituko.
was / were / is / be / am ; ndio core za lugha ya kiingereza,
ndio maana nawaambia ninyi watu bwana, ni morons tu,
auxilliary verbs tumejifunza huko primary, tukarudia tena secondary na vyuoni pia.
kama hujui english utawezaje kujua yanayofundishwa, au mnakariri tu kama maroboti.
hapo sawa na kulinganisha Tanganyika international school versus kimara kayumba primary school. haujawa fair kabisa. au linganisha dushe la punda limpande sungura, ni uonevu. udsm ndio Tanzania yenyewe huko kwingine ni mikoani.Naomba kujua utofauti na ubora wa kozi za sheria kwa LLB ya UDSM na Tumaini Mkumira kwa ubora, soko ajira na ukubalikaji wake..
ukiwa udsm ukimaliza GPA 3.5 naukimaliza chuo kingine na GPA 4.0 unaweza pata mtazamo gani kama wote wamesoma cozi moja..hapo sawa na kulinganisha Tanganyika international school versus kimara kayumba primary school. haujawa fair kabisa. au linganisha dushe la punda limpande sungura, ni uonevu. udsm ndio Tanzania yenyewe huko kwingine ni mikoani.
Ameomba kujua UTOFAUTI na UBORAubora wa chuo unapimwa kwa duration ya course?
ok
mzumbe 3 years
st augustine 4 years
**********★******
ubora umeonekanaje hapo?
ukienda vyuo vyote hata hicho tumaini na vingine, wanapotangaza kazi, wanasema vyuo vingine GPA iwe 4, ila udsm hata 3.0 sawa tu. A ya Tumaini au popote pale ni C ya udsm. huo ndio ukweli. wengi wanaoponda udsm hapa hawajasoma pale hivyo hawaijui, wanaisikia tu. kile ndio kitovu cha usomi tz. samahani kama nitakuwa nimewakwaza.ukiwa udsm ukimaliza GPA 3.5 naukimaliza chuo kingine na GPA 4.0 unaweza pata mtazamo gani kama wote wamesoma cozi moja..
Kuna baadhi ya vyo wanasifika kwa fani flani kama engineering ya st joseph au IT inayotolewa na wahindi iko juu sana.u wasn`t fair in your previous comment,u commented as if incompetent graduates are from UDSM only....be fair,kama ulikosa nafasi UDSM isikufanye kuwa negative kuhusu wao.....anyway sijui hata kwa nini tunalinganisha UDSM na hao wengine ....UDSM mshindani wake SUA kwa hapa nchini....hutaki meza moto
Kwan mkuu kama mtu akipata upper second ya LAW ya 3.5/3.6 ya udsm anaweza kuwa lecturer chuo chochote??bwana mdogo kuna graduates wazuri sana wa mzumbe, makumira na kwingineko.
kuna graduates wazuri pia wa udsm
lakini kuna wabovu pia kutoka sehemu zote.
udsm??? what is udsm?
Naambiwa mtu mwenye GPA YA UPPER SECOND 3.5 AU 3.6 YA LLB KUTOKA UDSM ANAWEZA PEWA NAFAS YA KUFUNDISHA (LECTURER) CHUO CHOCHOTE...HII NI KWELI AMA UZUSHI???Chuo hakisomi, au kufanya kazi, anayesoma ni mtu, na anayefanya kazi ni mtu, watu wanaangalia uwezo binafsi na sio chuo ulichosoma. Mfano miaka ya nyuma LL.B University of DSM Cut-off point ilikua ni 5, below that unakwenda kwingine, ila sasa wanachukua mpaka 7 points. Hicho ni kiashiria kua ubora wa elimu pia watu umepungua. ****** wapo kila mahali hata Harvard. mwisho wa siku ni namna unavyofanikisha mambo yako katika maisha. Huku mtaani watu wanapima mafanikio yako na sio chuo ulichosoma. Ila mkiwa shuleni mambo ya ubora wa vyuo yanakuwepo. Unless you want to be an academician, chuo ulichosoma wala GPA uliyonayo hakina/haina maana yoyote in real life.
Jipe matumaini.ukienda vyuo vyote hata hicho tumaini na vingine, wanapotangaza kazi, wanasema vyuo vingine GPA iwe 4, ila udsm hata 3.0 sawa tu. A ya Tumaini au popote pale ni C ya udsm. huo ndio ukweli. wengi wanaoponda udsm hapa hawajasoma pale hivyo hawaijui, wanaisikia tu. kile ndio kitovu cha usomi tz. samahani kama nitakuwa nimewakwaza.
GPA NI GPA vyuo vyote vinafuata miongozo ya tcu hivyo hilo usemalo halina msingi kitaaluma. Hawakuchukua kwa kuwa una 3.5 ya dar watakuchukua ukifaulu usaili na kama wanakubali 3.5 full stop.Naambiwa mtu mwenye GPA YA UPPER SECOND 3.5 AU 3.6 YA LLB KUTOKA UDSM ANAWEZA PEWA NAFAS YA KUFUNDISHA (LECTURER) CHUO CHOCHOTE...HII NI KWELI AMA UZUSHI???
Mi naona don't and please don't dare to compare Udsm to extended high school.Acha kufananisha UDSM na vitu vya kipumbavu
Hata tumaini pia wapo wenye hizo GPA wanafundisha vyuoni.Naambiwa mtu mwenye GPA YA UPPER SECOND 3.5 AU 3.6 YA LLB KUTOKA UDSM ANAWEZA PEWA NAFAS YA KUFUNDISHA (LECTURER) CHUO CHOCHOTE...HII NI KWELI AMA UZUSHI???
Hao ni Academicians tu mkuu, na sio wanasheria nguli. Wanasheria nguli wanapatikana huku kwenye corridors za mahakama na wanafahamika.Watanzania Tutaelimika Lini?
Mtoa Mada Ameomba Kujua Chuo Kipi Kati Ya Udsm Na Makumira Kina Toa Taaluma Nzuri Ya Sheria.
Wengi Wenu Humu Mmepondeana Vyuo Ambavyo Mmesoma Ama Mtavisoma Au Mmesikia Watu Wakisoma. Kitu Ambacho Ni Bias Na Kinaweza Kutomsaidia Mtoa Mada
Back To The Point Binafsi Kwa LL.B Nzuri Inapatikana UDSM Na Hilo Haina Ubishi Sana. Kutokana Na Ukweli Kwamba Wataalamu Wazuri Wa Kufundisha Sheria Kama Prof. Issa Shivji, Majamba Nk. Ambao Wamesaidia Kuwepo Kwa Wanasheria Nguli Tanzania Wapo UDSM.
In a Nutshell Nenda UDSM Hutojutia.