mournyrutta
Member
- Sep 15, 2016
- 51
- 11
Hahaha
Unajifariji tuJina la Chuo tu but lack of competence UDSM Is nothing you find the graduate doesn't know even to express himself /herself competence is what is needed so UDSM watch out
utawaweza hao malimbukeni wa jiji!!So vyuo vingine ni upumbavu
acha mbwembwe.Ni jambo la ajabu sana kulinganisha LLB ya UDSM na Makumira
*kwa leo nimekusamehe
We nawe nimekusamehe kwa kuwa hujafananishaLLB ya UDSM na chuo chochote bongo.acha mbwembwe.
intake ya wanaoenda pale tunaitambua, ni hawa hawa classmates zetu, kaka zetu, dada zetu na wadogo zetu..
hivi hao wa udsm si ndo hao vilazer tunaoishi nao huku huku mitaani...
au ni watu wapya kutoka sayari nyingine?
sioni tofauti yoyote.We nawe nimekusamehe kwa kuwa hujafananishaLLB ya UDSM na chuo chochote bongo.
Hayo mengine unataka tubishane bila sababu ya msingi sasa.
umeongea point mkubwa, bravo.In diversity we march forward- hatuwezi wote kwenda UDSM kwa sababu tofauti cha msingi check program ya Makumira imekaaje na wanaperform vipi wakifika Law School? Kama wanaufaulu wa kutosha sioni tatizo liko wapi. Dar ina advantage in the sense ya kuwa it was established long time ago, ni public university-serikali yetu inawalipa wakufunzi mishahara hivyo wana a good staff complement lakini siyo lazima iwe chaguo la kila mtu. Katika elimu kuna mchango wa chuo lakini pia mchango wa mwanafunzi ni mkubwa.
Sio huoni tofauti sema hujui tofautisioni tofauti yoyote.
sina haja ya kulinganisha wala kutofautisha.
unaweza kunipa ulinganifu au utofauti wa hivi vyuo viwili?
unawafahamu graduates wangapi wa UDSM wasio na ubora?,unawalinganisha na graduates wa chuo gani?Jina la Chuo tu but lack of competence UDSM Is nothing you find the graduate doesn't know even to express himself /herself competence is what is needed so UDSM watch out
weweeeee hahaha kojoa kalale tu, utoto unakusumbua.Sio huoni tofauti sema hujui tofauti
Na kuto kujua kwako haifanyi tofauti isiwepo
Usifananishe LLB ya UDSM na vitu vya kijinga.
Naishia hapo