AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
usidanganyike na signaturi shosti yangu,nimekwambia nisaidie maombi,au kama hutak nambie mana martha mwaipaja aliimba kuwa wkt wa shida hata mashoga zako watajitenga nawe...lolmaombi bado yanahitajika
Hio post juu ya hii ninayo kujibu kaeleza kuwa wewe ni sweetie wake usione kanukuu vibaya... hua nafanya nae kazi huyu jamaa.. mambo mengi humaanisha... legeza basi moyo kidogo....